PSPF WAFANYA KIKAO KAZI NA WATUMISHI WA MANISPAA ZA DAR NA PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-p2o7Lk-gOAs/VRR_gzsowTI/AAAAAAAAEko/yVGt3cxk6Ns/s72-c/Mayingu2.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa PPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba ya utangulizi wakati wa kikao kazi cha siku moja ya maafisa na wakuu wa idara za Halmashauri za miji na Manispaa za mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, iliyofanyika makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam, Alhamisi Machi 26, 2015.
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni, na Michezo,Profesa Hermans Mwansoko akitoa hotuba ya ufunguzi wa kikao kazi cha siku moja kwa maafisa na wakuu wa idara za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJKASRh116SI0sCi3B11h10Qr4pkJeljgw58EGrCAyU1wwXX5ekFQ*jB4VEvvKuKp-xVUdVOaaEXkmq4-CrTOqR*/Mayingu.jpg?width=650)
PSPF KIKAO KAZI NA WATUMISHI WA MANISPAA, DAR NA PWANI
10 years ago
Vijimambo27 Mar
PSPF KIKAO KAZI NA WATUMISHI WA MANISPAA, DAR NA PWANIâ€
![](http://api.ning.com/files/UQSvRDwuxJKASRh116SI0sCi3B11h10Qr4pkJeljgw58EGrCAyU1wwXX5ekFQ*jB4VEvvKuKp-xVUdVOaaEXkmq4-CrTOqR*/Mayingu.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/UQSvRDwuxJKEPDhK7feFf4W*SNkDtST27m90ZsrrVNC7eGbs5*lnb4qvZgNDWMbmp3azL4ks1Hq0MAlHa3GAdzqCaR4A0426/GabrielSilayo.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/UQSvRDwuxJLT1P2sT4PVVdvGFuhjklUNOR1dDtd7qCfhoM9tEtjDKrx1ayyCy1v3mGqdnOpQ5XQiQz0d-*Qlj39ICY4ERm1z/IbrahimMaftaha.jpg?width=650)
10 years ago
GPLMADIWANI MANISPAA YA KINONDONI WAFANYA KIKAO
11 years ago
Habarileo27 Jul
Manispaa K’ndoni yatimua kazi watumishi wake 9
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imewafukuza kazi watumishi tisa wa idara mbalimbali kutokana na makosa ya utoro kazini pamoja na matumizi mabaya ya madaraka ya ofisi.
9 years ago
Dewji Blog07 Jan
Watumishi 9 wa Manispaa ya Kigoma Ujiji wasimamishwa kazi
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, John Ndungulu akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kusimamishwa kazi kwa watumishi 9 wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji. (Picha na Emmanuel Senny).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Watumishi tisa wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji wamesimamishwa kazi mara baada ya kubainika kuingia mikataba mibovu isiyokuwa na tija na kuisababishia manispaa hasara ya kupoteza mapato sambamba na kulipa fidia ambazo ni batili pamoja na kuuza mali za halmashauri kinyume cha sheria.
Maamuzi...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Oct
Timu ya Bensouda (ICC), yaanza kazi rasmi, wafanya kikao na European Election Observers
T Baada ya tarehe 25 Oktoba, chochote kinaweza kutokea kwa viongozi wetu kama ilivyotokea Kenya (2007), na Ivory Coast. Wawakilishi wa Mahakama ya kikataifa ya uhalifu wa binadamu washatua nchini Tanzania. Na tayari washakutana na waangalizi […]
The post Timu ya Bensouda (ICC), yaanza kazi rasmi, wafanya kikao na European Election Observers appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPLCHADEMA WAFANYA KIKAO CHA KAMATI KUU LEO JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTsqM2s7r4rfRubV9rwF-5V77iTRH2Xqi3omvyvUwe88uPlqhIsx33Dqcp3bDRBrW0cZJB2ADuR8eI4vvkrUuKY/Photo1.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI
10 years ago
VijimamboPSPF WATOA SEMINA KWA ASKARI NA WATUMISHI RAIA MAKAO MAKUU YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI JIJINI DAR
Afisa Matekelezo Mwandamizi(SCO) wa mfuko wa Pensheni wa PSPF Bi. Matilda A. Nyallu akitoa elimu ya Mpango wa Uchangiaji wa Hiari kwa Askari na watumishi raia makao makuu ya Wizara ya mambo ya ndani jijini Dar es Salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-kZzCDp1roUI/VN3H4GATEuI/AAAAAAABF0U/IHZvayi65p8/s1600/RZ8A9040w.jpg)
Mfuko wa penseni wa PSPF ulipata fursa ya kukutana na kutoa elimu kuhusu huduma mbalimbali...