Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PSPF yagawa vyakula kwa watoto

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) wakishirikiana na Ofisi ya Ustawi wa Jamii wilayani Bagamoyo, Pwani wamekabidhi vyakula katika kituo cha watoto yatima cha Amani kilichopo eneo la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

PSPF YATOA MSAADA WA VYAKULA VITUO VYA KULELEA WATOTO YATIMA JIJINI DAR

 Afisa Uhusioano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (Wapili kulia), akimsalimia Mkurugenzi wa Kituo cha Kulea Watoto Yatima, (CHAKUWAMA), kilichoko Sinza jijini Dar es Salaam jana, baada ya wafanyakazi wa Mfuko huo kukab idhi misaadsa ya vyakula kwa ajili ya sikukuu ya Idd. Mfuko huo pia umekabidhi misaada kama hiyo kwa vituo vingine sita vya yatima jijini kwa ajili ya sikukuu ya Idd. Kulia ni Afisa wa fedha wa Mfuko huo, Mohammed Madenge, na kushoto ni A\fisa Masoko,...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAGAWA ZAWADI ZA EIDD EL FITR KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR


 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akimkabidhi sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali kwa mtoto Sophia Said wa kituo cha Yatima cha Maunga cha Kinondoni jijini Dar es Salaam ikiwa ni masandalizi ya Sikukuu ya Idd El Fitr.Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwakabidhi sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali watoto, Gatson Edward na Bonny Mayanga wa kituo cha Yatima cha Tuwakomboe cha Temeke jijini Dar es Salaam ikiwa ni masandalizi ya Sikukuu ya Idd El Fitir....

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE WAPWANI GENERATION WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIBAHA


NA VICTOR MASANGU, KIBAHAWatoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha Sharom kilichopo kata ya Msangani Wilayani Kibaha Mkoani Pwani wamemuomba Rais Dk. John Pombe Magufuli kuwasaidia kwa hali na mali kuwasaidia kuwatatulia changamoto mbali mbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa mahitaji ya chakulai,nguo, huduma za matibabu pamoja na ujenzi wa jengo la nyumba kwa ajili ya kuweza kuishi.
Baadhi ya watoto hao akiwemo Sara Yendemba Dickson Michael na wakizungumza...

 

11 years ago

Michuzi

TIMBER LAND JOGGING AND SPORTS CLUB YOMBO KILAKALA WAFUTURISHA NA KUTOA VYAKULA KWA WATOTO YATIMA


CHATA YA TIMBER LAND JOGING AND SPORTS CLUB YOMBO KILAKALA JIJINI DAR ES SALAA< Kanali Mstaafu Iddi Kipingu wa tatu kushoto akikabidhi misaada ya vyakula kwa watoto wanaolelewa katika kituo cha watoto yatima cha Daru-Alqm cha Yombo misaada iliyotolewa na Timber Land Jogging and Sports ClubKwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Habarileo

PSPF watoa misaada kwa watoto yatima wa Karoli Lwanga

MFUKO wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF) umetoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vya shule vyenye thamani ya Sh milioni nne kwa Kituo cha watoto yatima katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga Parokia ya Yombo Dovya, Dar es Salaam.

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Exim Yatoa Msaada wa Vyakula Kwa Ajili Ya Sikukuu ya Eid Kwenye Vituo Vya Kulelea Watoto Yatima Mikoa ya Minne.

Benki ya Exim sambamba na wafanyakazi wa benki hiyo hii leo wamekabidhi msaada ya vyakula kwenye vituo vinne vya kulelea yatima na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu vilivyopo katika mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar, Mtwara na Tanga.
Ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) unaotekelezwa na benki hiyo unaofahamika kwa jina "Exim Cares", msaada huo ulilenga kuwawezesha watoto hao waweze kufurahia Sikukuu ya Eid-Ul-Fitr.
Kwa upande wa jiji la Dar es Salaam...

 

10 years ago

Habarileo

Watoto yatima Temeke wapewa vyakula, nguo

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundition (SVF), linalojishughulisha na kusaidia watu wanaoishi kwenye mazingira magumu, limetoa msaada wa vyakula, nguo na mafuta ya kula kwa watoto yatima wanaoishi kwenye kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chamazi Manispaa ya Temeke.

 

11 years ago

Mwananchi

Vyakula vya watoto vyadaiwa kuwekwa dawa za kulevya

Tahadhari imetolewa kwa wazazi kuwa makini na vyakula wanavyokula watoto wao kufuatia kuibuka kwa mbinu mpya ya wauzaji dawa za kulevya kuweka dawa zao hizo kwenye vyakula vinavyopendwa na watoto.

 

11 years ago

GPL

MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA( TCAA) WATOA MSAADA WA VYAKULA MBALIMBALI KWA WATOTO YATIMA WANAOLELEA KATIKA KITUO CHA NEW LIFE ORPHANS HOME CHA KIGOGO JIJINI DAR ES SALAAM

Afisa habari wa Mamlaka ya  Usafiri wa Anga  Tanzania (TCAA) Ally Changwila  akiwakabidhi  msaada wa madaftari Rahma Seif na Yusra Yahaya  ambao ni watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha New Life Orphans Home kilichopo Kigogo jijini Dar es Salaam. Vyakula mbalimbali vilitolewa ikiwemo mchele na Maharage.
Afisa habari wa Mamlaka ya  Usafiri wa Anga  Tanzania (TCAA) Ally Changwila  (kushoto)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani