PSPF YAVUNA WANACHAMA KUTOKA KIKUNDI CHA WAJASIRIAMALI WA VOWET
![](http://1.bp.blogspot.com/-yeXSmo-jSdE/Vh1Z9jELHxI/AAAAAAAAbGw/dJaqrxpUDU8/s72-c/Wanachama%2Bwapya.jpg)
Meneja wa Mfuko wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS), wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mwanjaa Sembe, (aliyesimama), akiwaongoza wanachama wapya waliojiunga na mpango huo, wakati wa warsha ya siku moja iliyowakutanisha maafisa na mabalozi wa PSPF, na wanakikundi wa Sauti ya Wanawake Wajasiriamali Tanzania, (VOWET), kwenye ukumbi wa Belmonte jijini Dar es Salaam, Oktoba 13, 2015. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)
Na K-VIS MEDIA
MFUKO wa Pensheni wa PSPF, umezidi k”kupenya’ kwenye sekta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Wanachama-wapya.jpg)
PSPF YAVUNA WANACHAMA VOWET
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
PSPF yavuna wanachama 500 Sabasaba
“NIMEJIUNGA kuwa mwanachama wa hiari katika Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kwa kuwa kuna utaratibu baada miezi 12 unaweza kuchukua fedha zako,” anaanza kueleza Msanii, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ alipozungumza na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/viirmOBcoEHoLK7ABVaqf26msbIVPF6W2lqFuOFfQQlYEDD3wJnGLJh2ISmBhPO2-UoyuIpYDOEWiMKq4ls8QQfx57ir7HyO/1.jpg?width=650)
WANACHAMA WA CHAMA CHA MAWAKALA WA FORODHA TANZANIA WAJIUNGA NA PSPF
10 years ago
Dewji Blog26 May
PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar
Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).
Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.
Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...
10 years ago
VijimamboPSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Chawamamu yavuna wanachama wapya 414
10 years ago
Mwananchi23 Apr
ACT yavuna wanachama wapya 6,000
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nGekhEScDp8/VDR6wciYHWI/AAAAAAAARUk/oQAwUOf_HJs/s72-c/running-marathon-horz.jpg)
Chadema yavuna wanachama 130 wa CCM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-nGekhEScDp8/VDR6wciYHWI/AAAAAAAARUk/oQAwUOf_HJs/s640/running-marathon-horz.jpg)
10 years ago
MichuziKITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.