Punda wakwamisha masomo Shule Sekondari Nyerere
Wanafunzi wa shule ya sekondari Nyerere wilayani Iringa wanalazimika kuvunja masomo kila siku kwa madai ya Punda kuingia katika vyumba vya madarasa na kusababisha usumbufu kwao na kwa walimu.
Punda hao wanadaiwa kujenga mazoea ya kwenda shuleni hapo kila siku asubuhi kama ilivyo kwa wanafunzi.
Punda ni miongoni mwa wanyamakazi, ambao hufugwa kwa lengo la kusaidia shughuli mbalimbali na hasa katika suala la ubebeji wa mizigo, licha ya baadhi ya makabila – nyama ya Punda kuitumia kama ni...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
TIPER yasaini makubaliano kuchangia vitabu vya masomo ya sayansi Shule ya Sekondari Vijibweni
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni inayoifadhi mafuta ya Tanzania, Tanzania International Petroleum Reserves Ltd (TIPER), Bw Daniel Belair, akikabidhi vitabu vya sayansi vikiwemo vya Fizikia, Baolojia na Kemia kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Vijibweni, Bw Itumbo Kinyonyi wakati wa sherehe ya kusaini makubaliano yatakayoiwezesha kampuni hiyo kuchangia vitabu 200 vyenye thamani ya Shilingi milioni nne kwa shule hiyo iliyopo eneo la Kigamboni wilaya ya Temeke. Shughuli hiyo ilifanyika jana katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2Maqbh*Nh5fze6mqGDr3P7qIvFiz9Gd9L352X3Z*xI25f*mWRERyUS7VIP3pUpyNV6hIdembnKjysbjJ3p27gSkzLa5/001.KINYEREZI.jpg?width=650)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR ES SALAAM YAUNGANISHIWA VIFAA MAALUM VYA KUJIFUNZIA MASOMO KUPITIA KOMPYUTA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/---6koVBb6Ag/Vg78xaND9zI/AAAAAAAH8c4/KvPaO1HsDDw/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA SHULE YA SEKONDARI J.K.NYERERE HUKO TARIME
![](http://3.bp.blogspot.com/---6koVBb6Ag/Vg78xaND9zI/AAAAAAAH8c4/KvPaO1HsDDw/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DdJSTSuSKeg/Vg78xhxmfxI/AAAAAAAH8cg/Z7ffErWJ-sw/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_yM28meTy_A/Vg78xw-9gFI/AAAAAAAH8c0/7bLFy2AcauI/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXE_J_dT464/Vg78yKXLKjI/AAAAAAAH8cw/PvNZRWXi6cw/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Mgodi wa North Mara watumia Bilioni 1.7 kujenga shule wa sekondari JK Nyerere
Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa Mkoa wa Mara na wale wa Wilaya ya Tarime na wahisani waliojenga Shule ya J.K. Nyerere kukata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa Shule hiyo iliyoko katika Kijiji cha Nyamwaga.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpongeza Ndugu Jimmy Ijumba, Meneja wa ACACIA –North Mara Gold Mine mara baada ya kuzindua rasmi shule hiyo.
Mama Salma Kikwete akifurahia ngoma ya utamaduni na wananchi wa Kijiji cha Nyamwaga kilichoko katika wilaya...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Shule za sekondari zaidi ya 30 kufaidika na mradi wa vitabu wa Airtel Shule Yetu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa “Airtel Shule Yetu” kwa mwaka 2014/15, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mradi huu wa vitabu umeweza kufikia shule zaidi ya 1,000 toka ulipoanza miaka kumi iliyopita. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (katikati), na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania,...
10 years ago
MichuziShule ya sekondari ya Kutukutu Morogoro wafaidika na mradi wa "Airtel Shule Yetu"
Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni mbili umekabidhiwa hivi karibu na wawakilishi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel ikiwa ni mpango wa SHULE YETU unaosimamiwa na kampuni hiyo.
Akipokea msaada huo kwa niaba ya walimu na wanafunzi wa shule hiyo mkuu wa shule ya sekondari Kutukutu Finyilise Elias amesema,...
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
11 years ago
Habarileo06 Jul
Sekondari Dar yageuza wikiendi siku za masomo
WANAFUNZI wa Shule ya Seminari ya Kiislamu ya Mivumoni jijini Dar es Salaam, husoma kwa siku tano kama kawaida, lakini `wikiendi’ yao huwa siku za Alhamisi na Ijumaa. Hii ina maana kuwa siku za masomo huanza Jumamosi na kuendelea Jumapili, Jumatatu hadi Jumatano.
5 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 15 KWA SHULE TATU ZA SEKONDARI JIJINI DAR
Hafla ya kukabidhi msaada huo ilifanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibamba, ambako Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd alimkabidhi msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori (aliyekuwa mgeni rasmi).
Alisema Kibamba Sekondari yenye...