Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sekondari Dar yageuza wikiendi siku za masomo

WANAFUNZI wa Shule ya Seminari ya Kiislamu ya Mivumoni jijini Dar es Salaam, husoma kwa siku tano kama kawaida, lakini `wikiendi’ yao huwa siku za Alhamisi na Ijumaa. Hii ina maana kuwa siku za masomo huanza Jumamosi na kuendelea Jumapili, Jumatatu hadi Jumatano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR ES SALAAM YAUNGANISHIWA VIFAA MAALUM VYA KUJIFUNZIA MASOMO KUPITIA KOMPYUTA

Mkuu wa taasisi ya Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) akishirikiana na wasimamizi wa mradi wa kompyuta mashuleni Meelis Kuuskler (katikati) pamoja na Julius Giabe kuunganisha kifaa cha kujifunzia masomo  kupitia kompyuta  katika shule ya sekondari Kinyerezi  ya Tabata jijini Dar es Salaam.  Mradi huo unaendeshwa na Learning In Sync  chini ya Vodacom Foundation.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

FASTJET YAKUMBWA NA DHORUBA ANGANI, YASHINDWA KUTUA SONGWE YAGEUZA NA KURUDI DAR


Kiasi cha cha abiria 131 wakiwemo wanawake, vikongwe na watoto, waliokuwa wakisafiri na ndege ya Fastjet, kutoka jijini Dar es Salaam kwemda jijini Mbeya, walikumbwa na taharuki, baada ya ndege hiyo kushindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe, jijini humo, na kubaki ikizunguka tuu kwenye anga la jiji hilo kwa dakika kadhaa.

Hali mbaya ya hewa na ukungu mzito, vimeelezwa kuwa ndio chanzo cha ndege hiyo kushindwa kutua na hata rubani alipofanya majaribio mara mbili ya kutua...

 

9 years ago

StarTV

Punda wakwamisha masomo Shule Sekondari Nyerere

 

Wanafunzi wa shule ya sekondari Nyerere wilayani Iringa wanalazimika kuvunja masomo kila siku kwa madai ya Punda kuingia katika vyumba vya madarasa na kusababisha usumbufu kwao na kwa walimu.

Punda hao wanadaiwa kujenga mazoea ya kwenda shuleni hapo kila siku asubuhi kama ilivyo kwa wanafunzi.

Punda ni miongoni mwa wanyamakazi, ambao hufugwa kwa lengo la kusaidia shughuli mbalimbali na hasa katika suala la ubebeji wa mizigo, licha ya baadhi ya makabila – nyama ya Punda kuitumia kama ni...

 

9 years ago

StarTV

Fahamu kisa halisi cha Wanafunzi Geita Sekondari kusimamishwa masomo.

 

Wanafunzi wa Shule ya kiislamu ya Geita Sekondari wamesimamishwa masomo baada ya kumkataa Mkuu wa Shule hiyo Daud Odulu kwa madai ya kutumia madaraka yake vibaya na kutoa amri za wanafunzi kupigwa na mlinzi wa shule hiyo watakapoonekana nje majira ya kuanzia saa tatu usiku.

Mwalimu Odulu anadaiwa kuwa ndio chanzo cha kusababisha mwanafunzi mmoja aitwaye Fadhili Zuberi wa kidato cha nne kupigwa na rungu kichwani na Mlinzi na kusababisha hali yake kuwa mbaya na kupelekwa Hospitali ya Wilaya...

 

11 years ago

Bongo5

Dogo Janja apiga chini masomo ya sekondari, aamua kusomea muziki

Rapper wa Arusha aliyerejea tena Tip Top Connection, Dogo Janja amedai kuwa haoni umuhimu wa kuendelea na masomo ya sekondari na hivyo ameamua kusomea muziki. Akizungumza na Bongo5 jana akiwa jijini Mwanza kwaajili ya Serengeti Fiesta 2014, Dogo Janja amedai kuwa tayari ameshaanza mafunzo ya kutumia vyombo vya muziki kama vinanda. “Mimi napenda sana muziki, […]

 

10 years ago

Dewji Blog

TIPER yasaini makubaliano kuchangia vitabu vya masomo ya sayansi Shule ya Sekondari Vijibweni

TIPER PIX 2

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni inayoifadhi mafuta ya Tanzania, Tanzania International Petroleum Reserves Ltd (TIPER), Bw Daniel Belair, akikabidhi vitabu vya sayansi vikiwemo vya Fizikia, Baolojia na Kemia kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Vijibweni, Bw Itumbo Kinyonyi wakati wa sherehe ya kusaini makubaliano yatakayoiwezesha kampuni hiyo kuchangia vitabu 200 vyenye thamani ya Shilingi milioni nne kwa shule hiyo iliyopo eneo la Kigamboni wilaya ya Temeke. Shughuli hiyo ilifanyika jana katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi Ileje kukosa masomo kwa siku 21

Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Sita katika Shule ya Sekondari Ileje, iliyopo Wilaya ya Ileje Mkoa wa Mbeya, wamelazimika kupewa likizo ya lazima kwa muda wa siku 21, baada ya kuonekana kuhatarisha usalama na uvunjifu wa amani shuleni hapo kufuatia fujo zilizosababishwa na baadhi ya wanafunzi hao.

 

9 years ago

Michuzi

wadau wa spur steak ranches ya IT plaza Dar es salaam wanawatakia wikiendi njema

Wadau wakubwa wa Globu ya Jamii wanaohudumu katika mgahawa maridadi wa Blue Rock Spur ndani ya Spur Steak Ranches iliyoko IT Plaza katikati ya jiji la Dar es salaam wnawatakia wadau wenzao wote wikiendi njema huku wakikubaribisha kupata steki za uhakika hasa katika msimu huu wa mahafali. Leo walikuwa na sherehe ya mahafali ya mtoto Sellah aliyehitimu Kindergarten School pale Shule ya St. Joseph ambapo walimwandalia keki na kumuimbia nyimbo za pongezi.  Cheki video...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani