Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FASTJET YAKUMBWA NA DHORUBA ANGANI, YASHINDWA KUTUA SONGWE YAGEUZA NA KURUDI DAR


Kiasi cha cha abiria 131 wakiwemo wanawake, vikongwe na watoto, waliokuwa wakisafiri na ndege ya Fastjet, kutoka jijini Dar es Salaam kwemda jijini Mbeya, walikumbwa na taharuki, baada ya ndege hiyo kushindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe, jijini humo, na kubaki ikizunguka tuu kwenye anga la jiji hilo kwa dakika kadhaa.

Hali mbaya ya hewa na ukungu mzito, vimeelezwa kuwa ndio chanzo cha ndege hiyo kushindwa kutua na hata rubani alipofanya majaribio mara mbili ya kutua...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

FastJet yashindwa tena kutua Uwanja wa Songwe

Kwa mara nyingine, hali ya hewa mjini Mbeya jana ilisababisha ndege ya kampuni ya FastJet, iliyokuwa na abiria 120, kushindwa kutua kwenye Uwanja Ndege wa Kimataifa wa Songwe na kurejea Dar es Salaam.

 

9 years ago

Raia Mwema

Taa zakwamisha ndege za mashirika ya kimataifa kutua Songwe Airport

UWANJA wa Ndege wa Songwe mkoani Mbeya unafunga mwaka ukiwa na ongezeko la abiria takribani mara

Felix Mwakyembe

 

11 years ago

Habarileo

Sekondari Dar yageuza wikiendi siku za masomo

WANAFUNZI wa Shule ya Seminari ya Kiislamu ya Mivumoni jijini Dar es Salaam, husoma kwa siku tano kama kawaida, lakini `wikiendi’ yao huwa siku za Alhamisi na Ijumaa. Hii ina maana kuwa siku za masomo huanza Jumamosi na kuendelea Jumapili, Jumatatu hadi Jumatano.

 

9 years ago

Mwananchi

Dar yakumbwa na kipindupindu

Ugonjwa wa kipindupindu umeingia Dar es Salaam na kusababisha watu wawili kupoteza maisha na wengine 26 kulazwa katika hospitali za Mwananyamala na Sinza.

 

10 years ago

StarTV

Baadhi ya maeneo Dar yakumbwa na mafuriko.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar Es Salaam.

 

Watu wawili wamefariki katika meeneo ya Sinza na Mwananyamala jijini Dar es Salaam kufuatia mvua iliyonyesha na kusababisha baadhi ya nyumba kujaa maji yaliyotokana na mafuriko.

 

Taarifa ya vifo hivyo imethibitishwa na kamanda wa polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni Kinondoni kamishina msaidizi wa Polisi Camilius Wambura.

 

Maeneo yaliyoathiriwa zaidi na Mvua hiyo ni yale ya Wakazi waliojenga nyumba zao maeneo ya Mabondeni ikiwamo kati kati ya Jiji...

 

10 years ago

Mwananchi

MV Dar es Salaam yaanza majaribio, yaenda bagamoyo na kurudi Dar

Waziri wa Ujenzi Dk, John Magufuli leo amewaongoza wananchi wa jiji la Dar es Salaam kwenye majaribio ya uzinduzi wa Kivuko kipya Cha MV DAR ES SALAAM kitakachofanya safari zake kati ya Dsm na Bagamoyo.

 

11 years ago

Michuzi

libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam

 Huo msalaba uuonao hapo ni taa za magazri zilizo katika foleni mishale ya saa moja jioni kwenye makutano ya barabara za Morogoro road na Nelson Mandela jijini Dar es salaam. Hakika kuna haja ya kutafuta njia mbadala za kupunguza foleni ya magari katika jiji hili. Ushauri wa bure kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Madiwani wa Manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni. Boresheni njia za pembeni ili magari yaweze kupungua katika barabara hizi kuu. 
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii

 

11 years ago

Lusaka Flight

Fastjet launches Dar


IANS
Fastjet launches Dar-Lusaka flight
postzambia.com
FASTJET has confirmed that its first flight between Dar es Salaam in Tanzania and Lusaka was successfully completed last Saturday. The Dar-Lusaka flight marked the launch of the low-cost airline's second international route in Africa. The budget carrier first ...
Tanzanian authorities intercept ship carrying 200kg heroinThe Punch
fastjet adds second international route from Dar es Salaamanna.aero
Dar es Salaam gets over $48.6m for...

 

10 years ago

Michuzi

Shamba la Bibi na Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam toka angani

Uwanja wa Uhuru Maarufu kama "Shamba la Bibi" ukiwa kushoto mwa Uwanja Mkuu wa Taifa ambao bado haujapewa jina rasmi unavyoonekana leo baada ya kuwekwa paa upande wa "Urusi".Haijajulikana bado lini utaanza kutumika na kuupumzisha Uwanja wa Taifa ambao ndilo kimbilio la shughuli karibu zote za michezo  na za jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani