FASTJET YAKUMBWA NA DHORUBA ANGANI, YASHINDWA KUTUA SONGWE YAGEUZA NA KURUDI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-mCABlcZ-rgo/VLT-IjjD9wI/AAAAAAAAPEg/_iMI8xN-920/s72-c/fastjet.jpg)
Kiasi cha cha abiria 131 wakiwemo wanawake, vikongwe na watoto, waliokuwa wakisafiri na ndege ya Fastjet, kutoka jijini Dar es Salaam kwemda jijini Mbeya, walikumbwa na taharuki, baada ya ndege hiyo kushindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe, jijini humo, na kubaki ikizunguka tuu kwenye anga la jiji hilo kwa dakika kadhaa.
Hali mbaya ya hewa na ukungu mzito, vimeelezwa kuwa ndio chanzo cha ndege hiyo kushindwa kutua na hata rubani alipofanya majaribio mara mbili ya kutua...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jan
FastJet yashindwa tena kutua Uwanja wa Songwe
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Taa zakwamisha ndege za mashirika ya kimataifa kutua Songwe Airport
UWANJA wa Ndege wa Songwe mkoani Mbeya unafunga mwaka ukiwa na ongezeko la abiria takribani mara
Felix Mwakyembe
11 years ago
Habarileo06 Jul
Sekondari Dar yageuza wikiendi siku za masomo
WANAFUNZI wa Shule ya Seminari ya Kiislamu ya Mivumoni jijini Dar es Salaam, husoma kwa siku tano kama kawaida, lakini `wikiendi’ yao huwa siku za Alhamisi na Ijumaa. Hii ina maana kuwa siku za masomo huanza Jumamosi na kuendelea Jumapili, Jumatatu hadi Jumatano.
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Dar yakumbwa na kipindupindu
10 years ago
StarTV30 Dec
Baadhi ya maeneo Dar yakumbwa na mafuriko.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar Es Salaam.
Watu wawili wamefariki katika meeneo ya Sinza na Mwananyamala jijini Dar es Salaam kufuatia mvua iliyonyesha na kusababisha baadhi ya nyumba kujaa maji yaliyotokana na mafuriko.
Taarifa ya vifo hivyo imethibitishwa na kamanda wa polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni Kinondoni kamishina msaidizi wa Polisi Camilius Wambura.
Maeneo yaliyoathiriwa zaidi na Mvua hiyo ni yale ya Wakazi waliojenga nyumba zao maeneo ya Mabondeni ikiwamo kati kati ya Jiji...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
MV Dar es Salaam yaanza majaribio, yaenda bagamoyo na kurudi Dar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s72-c/f1.jpg)
libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s1600/f1.jpg)
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii
11 years ago
Lusaka Flight05 Feb
Fastjet launches Dar
IANS
postzambia.com
FASTJET has confirmed that its first flight between Dar es Salaam in Tanzania and Lusaka was successfully completed last Saturday. The Dar-Lusaka flight marked the launch of the low-cost airline's second international route in Africa. The budget carrier first ...
Tanzanian authorities intercept ship carrying 200kg heroinThe Punch
fastjet adds second international route from Dar es Salaamanna.aero
Dar es Salaam gets over $48.6m for...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mho3iXQWZ3E/VNX41uzHDhI/AAAAAAAHCV0/os9wcy76dUU/s72-c/0L7C1936.jpg)
Shamba la Bibi na Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam toka angani
![](http://4.bp.blogspot.com/-mho3iXQWZ3E/VNX41uzHDhI/AAAAAAAHCV0/os9wcy76dUU/s1600/0L7C1936.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10