FastJet yashindwa tena kutua Uwanja wa Songwe
Kwa mara nyingine, hali ya hewa mjini Mbeya jana ilisababisha ndege ya kampuni ya FastJet, iliyokuwa na abiria 120, kushindwa kutua kwenye Uwanja Ndege wa Kimataifa wa Songwe na kurejea Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mCABlcZ-rgo/VLT-IjjD9wI/AAAAAAAAPEg/_iMI8xN-920/s72-c/fastjet.jpg)
FASTJET YAKUMBWA NA DHORUBA ANGANI, YASHINDWA KUTUA SONGWE YAGEUZA NA KURUDI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-mCABlcZ-rgo/VLT-IjjD9wI/AAAAAAAAPEg/_iMI8xN-920/s640/fastjet.jpg)
Kiasi cha cha abiria 131 wakiwemo wanawake, vikongwe na watoto, waliokuwa wakisafiri na ndege ya Fastjet, kutoka jijini Dar es Salaam kwemda jijini Mbeya, walikumbwa na taharuki, baada ya ndege hiyo kushindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe, jijini humo, na kubaki ikizunguka tuu kwenye anga la jiji hilo kwa dakika kadhaa.
Hali mbaya ya hewa na ukungu mzito, vimeelezwa kuwa ndio chanzo cha ndege hiyo kushindwa kutua na hata rubani alipofanya majaribio mara mbili ya kutua...
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Taa zakwamisha ndege za mashirika ya kimataifa kutua Songwe Airport
UWANJA wa Ndege wa Songwe mkoani Mbeya unafunga mwaka ukiwa na ongezeko la abiria takribani mara
Felix Mwakyembe
9 years ago
MichuziTume ya Mipango watembelea uwanja wa ndege wa Songwe, Mbeya
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Uwanja wa Ndege Songwe wawa kivutio cha watalii
UWANJA wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe, mkoani hapa, umekuwa sehemu ya vivutio vya utalii vinavyopatikana kwenye mikoa ya Kanda za Juu Kusini. Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa...
10 years ago
MichuziSIMBA YASHINDWA KUIFUNGA EXPRESS YA UGANDA NYUMBANI, ZATOKA 0-0, UWANJA WA TAIFA LEO
(Picha zote na Francis Dande)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RU4vSr8EU-Q/VM5CDnvXYMI/AAAAAAAHAqo/I5LpwIby6DQ/s72-c/MMGM0297.jpg)
Yanga yashindwa kufutukuta mbele ya Ndanda,zatoka suluhu kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-RU4vSr8EU-Q/VM5CDnvXYMI/AAAAAAAHAqo/I5LpwIby6DQ/s1600/MMGM0297.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dD1xNFTyW2I/VM5CJisit9I/AAAAAAAHArA/jkrNgFRP9dQ/s1600/MMGM0399.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-iGGjqR9Ngeo/VLTTZKocV-I/AAAAAAAAyS4/z0m_H3XoQAs/s72-c/10342890_10153501536612971_2725750368417533822_n.jpg)
WAFANAYAKAZI WA UWANJA WA NDEGE SONGWE WACHELEWAJI KUFIKA KAZINI ABIRIA WALEO ALFAJIRI WASOTA KWA MASAA WAKIWASUBIRI WAFANYAKAZI HAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGGjqR9Ngeo/VLTTZKocV-I/AAAAAAAAyS4/z0m_H3XoQAs/s640/10342890_10153501536612971_2725750368417533822_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vT6Q8AiFHuI/VLTTaigEbfI/AAAAAAAAyTI/0rEn9AjXrtE/s640/10906033_10153501536512971_7923252858331797919_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C_blzpl0PRA/VLTTfqikY9I/AAAAAAAAyTQ/eYtD1IOfyR8/s640/10930912_10153501536687971_3684894397407205348_n.jpg)
10 years ago
VijimamboNDEGE KUBWA ZAANZA KUTUA UWANJA WA KIMATAIFA WA ABEID AMAN KARUME ZANZIBAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3QuwAYi3_v8/XsaThlAdLGI/AAAAAAALrJY/ZYP-yFrESsg8_kJ4bu_228q8fG2iplWSgCLcBGAsYHQ/s72-c/4a37514d-45ea-481b-8c2f-25296c237678.jpg)
NDEGE YA KWANZA YA WATALII YAWASILI LEO UWANJA WA KIA, ZINGINE KUTUA KUANZIA MEI 28
SERIKALI imesema leo majira ya saa 3:30 asubuhi, Ndege ya kwanza iliyobeba watalii ikitokea nchini Ugiriki imetua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro ikiwa ni mwanzo wa kurejea kwa usafiri wa anga kwa Ndege za kimataifa nchini.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe wakati akizungumza na wandishi wa habari leo ofisini kwake jijini Dodoma.
Waziri Kamwelwe amesema Ndege iliyotua leo ilikua na watalii wanne na watu...