Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RACHEL WA BONGO MUVI NA KICHANGA CHAKE WAAGA DUNIA

Wasanii wa Bongo Muvi wakiwa Muhimbili baada ya kupata habari za kifo cha mwenzao. Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere akilia kwa uchungu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

RACHEL HAULE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia.

 

11 years ago

Dewji Blog

Msanii Bongo movies ‘Rachel Haule’ afariki dunia!

532

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia.

MOblog inaungana na Watanzania wote kuombeleza kifo cha...

 

11 years ago

GPL

MSTUKO: MSANII RACHEL HAULE WA BONGO MOVI AFARIKI DUNIA!

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es…

 

11 years ago

Michuzi

Msanii nyota wa filamu za Bongo movies Rachel Haule "Recho" afariki dunia

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ (pichani chini), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam.  Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa za msiba wa msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho' mapema leo. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto...

 

11 years ago

GPL

PIGO LINGINE BONGO MUVI: GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA

Mwongozaji wa filamu nchini na aliyekuwa mume wa staa wa filamu za Kibongo, Yvonny Cherry 'Monalisa', George Tyson amefariki dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari maeneo ya Gairo, Morogoro akitokea mkoani Dodoma. Mwili wa marehemu Tyson kwa sasa umehifadhiwa katika Hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam baada ya kutolewa katika Hospitali ya Mkoa ya… ...

 

11 years ago

GPL

BELINA ANASWA NA KICHANGA CHAKE

Modo maarufu Bongo, Belina Mgeni akiwa na mtoto wake Naila. ...Belina Mgeni akielekea nyumbani. MODO maarufu Bongo, Belina Mgeni amenaswa na kamera yetu maeneo ya Mikocheni, Dar akiwa na kichanga chake.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Recho azikwa na kichanga chake Dar

SAFARI ya mwisho ya msanii wa filamu, Rachel Haule ‘Recho’ na mwanaye mchanga imefikia tamati jana baada ya kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na kuacha simanzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahujaji 27 waaga dunia India

Mahujaji 27 wameuawa kufuatia mkurupuko uliotokea katika warsha moja ya kidini katika jimbo la Andhra Pradesh nchini India.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waaga dunia pamoja baada ya miaka 62

Je kuna penzi la kweli ? Don na Maxine Simpson wameaga dunia pamoja baada ya ndoa ya miaka 62.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani