Raia wa Kenya anaswa akivunja ATM Arusha
MTU mmoja aliyetambulika kwa jina la Annuary Ally, raia wa nchi jirani ya Kenya ametiwa mbaroni na polisi baada ya kukutwa akivunja mashine ya kutolea fedha (ATM) ya Benki ya Barclays, Tawi la Stendi Kuu ya mabasi jijini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfh3NBVsIRluOPvouTTg2Bn5NXivk9dMWaR9rqvSBUn4Kx9lWSPLwzf4o6kW2EpMBTKRBlGw27M*z4hfYIQC-fNz/aibu.jpg)
AIBU NZITO MBOMGO FLEVA ANASWA AKIVUNJA AMRI YA SITA!
Stori: ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS
Aibu nzito! Msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Venas John Bebu ‘Bebuz’ amenaswa laivu akivunja amri ya sita (kuzini) na mwanafunzi wa sekondari ufukweni. Msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Venas John Bebu ‘Bebuz’ afumwa akivunja amri ya sita ufukweni Tukio hilo la aibu lilijiri wiki iliyopita mishale ya saa 8:00 usiku kwenye Ufukwe wa Coco, Dar ambapo polisi jamii...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini
Kenya raia wanne wa Uchina wamekamatwa na polisi Kenya baada ya kusambaa kwa video mtandaoni ikionesha mkenya akichapwa viboko.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Maji ya ATM yazinduliwa nchini Kenya
Wakazi wa kitongoji duni cha Mathare katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, sasa wanaweza kupata maji safi ya kunywa na kwa matumizi mengine.
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/E393/production/_83795285_83795266.jpg)
VIDEO: 'Water ATM' scheme launches in Kenya
Residents of the Mathare slum area of Kenya's capital, Nairobi, are now able to access water through an ATM-style dispenser.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CaBTeWbQKlM/XphABBMi-KI/AAAAAAALnJ4/kCg1BZ7Y-noBDdFkrQ45WglBBrgHraddgCLcBGAsYHQ/s72-c/29229496-9983-49eb-8c08-180542859934.jpg)
KIGOGO BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA AMBAYE NI RAIA WA NIGERIA ANASWA JIJINI DAR, WAMO PIA WATANZANIA WAWILI...
![](https://1.bp.blogspot.com/-CaBTeWbQKlM/XphABBMi-KI/AAAAAAALnJ4/kCg1BZ7Y-noBDdFkrQ45WglBBrgHraddgCLcBGAsYHQ/s640/29229496-9983-49eb-8c08-180542859934.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QW2hjy0Wbk/XphAB0QuDNI/AAAAAAALnKA/ULe5CkKqn60nEwrb-rXcuLG4SiEecWe_QCLcBGAsYHQ/s640/85036a40-6c14-426e-bcbd-9713b9c07805.jpg)
Watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya wakiwa chini ya ulinzi baada ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kuwanasa jijini Dar es Salaam.
![](https://1.bp.blogspot.com/-il6JBypXrMc/XphABWgQ4rI/AAAAAAALnJ8/AFkssFUMb7IcE8tfwQ-6yHcgvBi1rL_8gCLcBGAsYHQ/s640/ad35ca83-39ef-4e13-bb84-eb573b11fdb3.jpg)
Na Ripota Wetu,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya jana...
10 years ago
GPL19 Apr
VIDEO: HAUSIGELI ANASWA AKIMNYONYESHA MTOTO WA BOSI WAKE KENYA
HAUSIGELI mmoja nchini Kenya amenaswa akimnyonyesha mtoto wa bosi wake. Hausigeli huyo aitwaye Grace Mwikali Mwema amekutwa akifanya kitendo hicho siku mbili tangu aanze kazi japo jaribio lake halikufanikiwa kwa kuwa mtoto alikataa kunyonya. Mama wa mtoto aligundua tukio hilo kutokana na kamera aliyoitega nyumbani kwake na akuunganisha na simu yake ya mkononi. Msichana huyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi akisubiri kupandishwa...
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya
Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya ni raia wa UK
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Raia 77 wa Uchina washtakiwa Kenya
Polisi nchini Kenya wamewafikisha mahakamani raia 77 wa Uchina kwa kushukiwa kushiriki udukuzi wa mawasiliano na ulanguzi wafedha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania