AIBU NZITO MBOMGO FLEVA ANASWA AKIVUNJA AMRI YA SITA!
![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfh3NBVsIRluOPvouTTg2Bn5NXivk9dMWaR9rqvSBUn4Kx9lWSPLwzf4o6kW2EpMBTKRBlGw27M*z4hfYIQC-fNz/aibu.jpg)
Stori: ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS Aibu nzito! Msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Venas John Bebu ‘Bebuz’ amenaswa laivu akivunja amri ya sita (kuzini) na mwanafunzi wa sekondari ufukweni. Msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Venas John Bebu ‘Bebuz’ afumwa akivunja amri ya sita ufukweni Tukio hilo la aibu lilijiri wiki iliyopita mishale ya saa 8:00 usiku kwenye Ufukwe wa Coco, Dar ambapo polisi jamii...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 May
Raia wa Kenya anaswa akivunja ATM Arusha
MTU mmoja aliyetambulika kwa jina la Annuary Ally, raia wa nchi jirani ya Kenya ametiwa mbaroni na polisi baada ya kukutwa akivunja mashine ya kutolea fedha (ATM) ya Benki ya Barclays, Tawi la Stendi Kuu ya mabasi jijini hapa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzdDZUuVocWwh9MpRx*Ienn88Xh5b1WCEFxQWCNr5XfZhIjvojZuSFdy0wibzbDgiW-xLO-InSwPfonnUVGWTk*n/live.jpg)
LIVE! MSANII WA BONGO FLEVA ANASWA NA MACHANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL2IX8ND1URTb5JFhEH9gd9MPmA6fDdTOhD1j15G64LOKdxA4DuP1I6rhX5hy*Q*9sHmvCfZjGBsyeqLWRgmukE7/MAMA.jpg?width=650)
MAMA ANASWA KWA KUMPA KAZI NZITO MTOTO
11 years ago
GPLBARUA NZITO: DADA MAINDA, HEBU ONA AIBU BASI!!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTGYHrRVPgocyEIsVxVbhOiQNtlKvvQnQxhuPhMTxN8wJns2lXEH0-8eKsLAfoImWOtLqGz7ERjFwvKGPAk0SfDC/1weeer.jpg)
AIBU! KIBOSILE ANASWA LIVE UFISADI WA VYANDARUA
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Wasanii wafumwa wakivunja amri ya sita
WASANII wa filamu wa kundi la Hamadombe la jijini Dar es Salaam, Moses Mfaume ‘Zahilo’ na Rukia Shaban ‘Kendy’, mwanzoni mwa wiki hii walikula kichapo baada ya kufumaniwa wakifanya ngono...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qnyIcRaPxw0/VORCPC77RkI/AAAAAAAAGoM/BqBi9wCP0r4/s72-c/STARA%2BTHOMAS.jpg)
Kuhusiana na skendo ya kukutwa na mume wa mtu, Hii ndiyo barua nzito kwa mwanamuziki wa Injili na Bongo Fleva Stara Thomas
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnyIcRaPxw0/VORCPC77RkI/AAAAAAAAGoM/BqBi9wCP0r4/s640/STARA%2BTHOMAS.jpg)
Binafsi ni mzima. Naendelea na majukumu yangu kama kawaida. Nimekukumbuka kwa barua leo maana ni muda mrefu hatujaonana. Sikulaumu maana mjini mipango kama alivyoimba Mwanamuziki Ali Chocky wa Extra Bongo.Dhumuni la barua hii kwanza kabisa ni kukupa pole kwa tukio lililotokea juzikati maana suala la kukutwa na...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/SALUNI-1.jpg)
OFM KAZINI...WANASWA WAKIVUNJA AMRI YA SITA SALUNI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMOeNs6MZSeDXJQzj*k*Kakxp51DeBh-BfdJc2CZoe45-VV5iudHJKdKoYy6s8VUYf6tiAI11qfOc7bbgbHFb1lD/BACKAMANI.jpg?width=650)
AIBU ILIYOJE! MUME WA MTU ANASWA NDANI YA DANGURO NA WAANDISHI WETU