Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia washiriki katika uchaguzi Ukraine

Taifa la Ukraine hii leo linashiriki katika shughuli ya uchaguzi wa urais uliotajwa kuwa muhimu katika historia ya taifa hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

HRW:Wapiganaji wanawatesa raia Ukraine

Shirika la kutetea haki za binadamu Human Rights Watch linaripoti visa vya ukiukwaji wa haki za binadamu katika maeneo yanayotawaliwa na waasi wa Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Bilionea ashinda uchaguzi wa Ukraine

Matokeo ya kura yaliotangazwa nchini Ukraine yanaonyesha kuwa tajiri Petro Porishenko ameshinda awamu ya kwanza ya uchaguzi wa urais.

 

11 years ago

Michuzi

PSPF WASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA USALAMA NA AFYA DUNIANI KWA WAFANYAKAZI,KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR

Ofisa muendeshaji wa Mfukowa pesheni wa mashirika ya umma PSPF, Bw, Hadji Jamadary kushoto akimwelekeza kujaza fomu Shabani Maganga wakati wa mahadhimisho ya siku ya usalama na afya kazini yaliyofanyika viwanja vya mnazi mmoja Dar es salaam
Afisa muendeshaji wa mfuko wa pesheni wa mashirika ya uma PSPF Bw, Lule Kasembwe kushoto akitoa maelekezo kwa wazee waliojitokeza  Ofisa muendeshaji wa PSPF Hadji Jamadary kushoto akiwapatia mahelezo ya jinsi ya kujiunga na PSPF wakati wa...

 

9 years ago

Vijimambo

WANANCHI WA KISARAWE WASHIRIKI MDAHALO WA AJENDA YA WATOTO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015


Ndg Abel Mudo, mgombea wa udiwani kata ya Kisarawe kupitia CCM akichangia katika mdahalo wa ajenda ya watoto ambapo ulihusisha pia wakazi wa kata ya kisaraweBaadhi ya wakazi ya kata wa kisarawe wakifuatilia kwa makini mdahalo wa ajenda ya watoto ambapo wa  ajenda ya watoto ullohusisha wagombea wa udiwani kupiitia vyama vya CCM na Chadema 


Mmoja wa wananchi wa kata ya kisarawe akichangia katika mdahalo wa ajenda ya  watoto kuelekea uchaguzi mkuu  ambapo ulihusisha wanafunzi na wagombea  wa...

 

11 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.

Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa,TANAPA Pascal Shelutete akikaribisha mijadala kwa washiriki katika warsha ya Mashirikiano kati ya TANAPA na Vyombo vya Ulinzi na Usalama Baadhi ya Washiriki katika Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini majadiliano.Mhifadhi mkuu Mtango Mtaiko akiwasilisha mada kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu TANAPA ,Allan Kijazi juu ya majukumu na changamoto zinazoikabiri TANAPA kwa ujumla.Meneja Ulinzi wa Hifadhi za Taifa ,TANAPA ,Emily Kisamo akiwasilisha mada juu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wadaiwa kuuawa katika shambulio Ukraine

Wakimbizi katika mji wa Luhansk wamesemekana kuuawa wote katika shambulio la Jumatatu usiku nchini Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Kura ya maoni katika majimbo ya Ukraine

Kura ya maoni yafanyika katika majimbo ya Donetsk na Luhansk yaliyoko mashariki mwa Ukraine .

 

10 years ago

BBCSwahili

Katika G20 Putin aonywa aondoke Ukraine

Mataifa ya magharibi yataka Rais Putin atimize makubaliano ya kusitisha mapigano Ukraine

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani