Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadaiwa kuuawa katika shambulio Ukraine

Wakimbizi katika mji wa Luhansk wamesemekana kuuawa wote katika shambulio la Jumatatu usiku nchini Ukraine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG

Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine:Waasi wadaiwa kukiuka mkataba

Serikali ya Ukraine inasema kuwa waasi wanaungwa mkono na Urusi wamekiuka pakubwa muafaka wa amani mara 20 zaidi.

 

9 years ago

Vijimambo

TUJIKUMBUSHE TULIKOTOKA. JOHN BROWN MPIGANAJI KATIKA KUMALIZA UTUMWA, ALIEJULIKANA KATIKA SHAMBULIO LAKE LA HARPER FERRY 1859

Mwanaharakati John Brown alienyongwa mwaka December 2, 1859 huko west Virgina, ambayo ilikuwa ni sehemu ya state ya Virginia kwa wakati huo, jina lake halitasahaulika kwa harakati zake za kupigania kuondosha biashara ya utumwa.Mji unaojulikana kama Charles Town ni mji iliopo west virginia ambayo zamani ilikuwa virginia wakati huo ambao alikamatwa na kuhukumiwa kunyongwa kwa mwa harakati aliekuwa akinga biashara ya utumwa  Bw. John BrownJefferson County Courthouse. Beginning on October 25,...

 

10 years ago

BBCSwahili

9 wauawa katika shambulio Marekani

Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha na pikipiki.

 

11 years ago

BBCSwahili

10 wajeruhiwa katika shambulio Kenya

Watu wapatao 10 wamejeruhiwa katika shambulio la gruneti katika kituo kimoja cha utalii, kusini mwa mji wa Mombasa nchini Kenya.

 

10 years ago

GPL

ANUSURIKA KUUAWA KATIKA WIZI WA PIKIPIKI MAGOMENI, DAR

Mtuhumiwa wa wizi akiwa amechakazwa kwa kipigo.   Moja ya matofali yaliyotumika kumshambulia mtuhumiwa. …

 

10 years ago

StarTV

Watu 9 wauawa katika shambulio Marekani

Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki katika mkahawa mmoja katika mji wa Waco.

Hata hivyo watu wengine 18 walipelekwa hospitali kupatiwa matibabu kutokana shambulio hilo.

 

Maofisa katika mji huo wanasema kuwa walibaini mkusanyiko kati ya watu watano walioonekana kupanga jambo lisilo la kawaida.

 

Watu waliokuwa katika mkahawa huo walijificha katika chumba cha majokofu katika harakati za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 11 wauawa katika shambulio Ufaransa

Watu 11 wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa katika Ofisi ya Gazeti jijini Paris nchini Ufaransa

 

10 years ago

BBCSwahili

11 wauawa katika shambulio Mandera,Kenya

Watu 11 wameuawa katika shambulio jijini Mandera kaskazini mashariki mwa Kenya. shambulio hilo liliwalenga wageni katika eneo hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani