10 wajeruhiwa katika shambulio Kenya
Watu wapatao 10 wamejeruhiwa katika shambulio la gruneti katika kituo kimoja cha utalii, kusini mwa mji wa Mombasa nchini Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm8VfT71EOYMCMmegY*moSpk4Q4b6PGdkbRgd5eP6mFDxQBYSJD7WcnfN8oX3Cy2nh3RnfbCTTbzFk80QQMfENMJ/2.jpg)
30 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO NCHINI KENYA
Daladala zilizochomwa moto wakati wa shambulio hilo la Mpeketoni, Lamu nchini Kenya.
Magari yaliyochomwa moto katika kituo cha polisi cha Mpeketoni. WATU zaidi ya 30 wameuawa, hoteli mbili, kituo cha polisi na kituo cha mafuta…
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
11 wauawa katika shambulio Mandera,Kenya
Watu 11 wameuawa katika shambulio jijini Mandera kaskazini mashariki mwa Kenya. shambulio hilo liliwalenga wageni katika eneo hilo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7Lv6nS1gZFaG1Cx9Ggn6hqngvf72HikaX*b8ZU8DOEn1kys*8Xfmdj*ucwg5dKEsR52lBQ4SHzY6NZ6HY1X5Gfpb/GIDEONKIMILU.jpg)
JESHI NCHINI KENYA LATOA MAJINA YA WAHUSIKA KATIKA SHAMBULIO LA KIGAIDI LA MANDERA
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Gedion M Kimilu. JESHI la Polisi nchini Kenya leo limetoa majina ya watuhumiwa wawili wanaosakwa kwa kuhusika katika shambulio la kigaidi la Mandera ambao ni Mohamed Mohamud aka Dulyadin aka Gamadheere kutoka Garissa na Ahmed Iman kutoka Majengo jijini Nairobi. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi nchini Kenya leo. Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa… ...
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ubalozi wa Marekani waonya dhidi ya shambulio la kigaidi katika hoteli moja Nairobi Kenya
Ubalozi wa Marekani nchini Kenya umetoa onyo kwamba magaidi huenda wakashambulia hoteli moja kubwa nchini Nairobi.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Watatu wajeruhiwa Kenya
WATU watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu katika mji wa Garisa nchini humo. Hayo yalithibitishwa Jumamosi na mkuu wa polisi wa eneo hilo, Charles Kinyua kuwa kati ya vijana watatu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vmSCjfwaT_Y/VVBNx6yV-8I/AAAAAAAHWlo/eegjN9HMDcg/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-11%2Bat%2B9.34.04%2BAM.png)
WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA MAGARI MATATU KATIKA BARABARA YA NJOMBE/MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmSCjfwaT_Y/VVBNx6yV-8I/AAAAAAAHWlo/eegjN9HMDcg/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-11%2Bat%2B9.34.04%2BAM.png)
AJALI HIYO IMETOKEA MNAMO TAREHE 10.05.2015 MAJIRA YA SAA 20:10...
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Shambulio latibuka Kenya
Maafisa wa usalama Kenya wamekabiliana na watu waliojihami na vilipuzi waliojaribu kuyalipua mabasi kwa guruneti huko Lamu
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
10 wajeruhiwa kwenye shambulizi Kenya
Angalau watu kumi wamejeruhiwa katika shambulizi la guruneti katika eneo moja la watalii mjini Mombasa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SvPN3e*0rsa1Ujg1LC3gjQF0YRgwmbvAoNm*EJTgWwQvbgaQY4hFs6kSVvYbfTWIf5UoxzuMhWsiHhNtk*m*Zm/lamuattackshabaab.jpg?width=650)
SHAMBULIO LAUA WENGINE 5 KENYA
Mabaki ya magari katika shambulio la Mpeketoni. WATU watano wamepoteza maisha baada ya shambulio lililotokea usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Pandanguo huko Witu wilayani Lamu nchini Kenya kilometa 30 kutoka Mpeketoni yalipotokea mauaji ya watu zaidi ya 60 wiki iliyopita. Polisi wamesema kuwa waliouawa ni kutoka jamii mbalimbali. Mkuu wa Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo amesema kuwa washambuliaji walivamia kijiji cha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania