Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


10 wajeruhiwa katika shambulio Kenya

Watu wapatao 10 wamejeruhiwa katika shambulio la gruneti katika kituo kimoja cha utalii, kusini mwa mji wa Mombasa nchini Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

30 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO NCHINI KENYA

Daladala zilizochomwa moto wakati wa shambulio hilo la Mpeketoni, Lamu nchini Kenya.
Magari yaliyochomwa moto katika kituo cha polisi cha Mpeketoni. WATU zaidi ya 30 wameuawa, hoteli mbili, kituo cha polisi na kituo cha mafuta…

 

10 years ago

BBCSwahili

11 wauawa katika shambulio Mandera,Kenya

Watu 11 wameuawa katika shambulio jijini Mandera kaskazini mashariki mwa Kenya. shambulio hilo liliwalenga wageni katika eneo hilo

 

10 years ago

GPL

JESHI NCHINI KENYA LATOA MAJINA YA WAHUSIKA KATIKA SHAMBULIO LA KIGAIDI LA MANDERA

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Gedion M Kimilu. JESHI la Polisi nchini Kenya leo limetoa majina ya watuhumiwa wawili wanaosakwa kwa kuhusika katika shambulio la kigaidi la Mandera ambao ni Mohamed Mohamud aka Dulyadin aka Gamadheere kutoka Garissa na Ahmed Iman kutoka Majengo jijini Nairobi. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi nchini Kenya leo. Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa… ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa Marekani waonya dhidi ya shambulio la kigaidi katika hoteli moja Nairobi Kenya

Ubalozi wa Marekani nchini Kenya umetoa onyo kwamba magaidi huenda wakashambulia hoteli moja kubwa nchini Nairobi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wajeruhiwa Kenya

WATU watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu katika mji wa Garisa nchini humo. Hayo yalithibitishwa Jumamosi na mkuu wa polisi wa eneo hilo, Charles Kinyua kuwa kati ya vijana watatu...

 

10 years ago

Michuzi

WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA MAGARI MATATU KATIKA BARABARA YA NJOMBE/MBEYA

WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA BASI LA ABIRIA MALI YA KAMPUNI YA TAQWA LENYE NAMBA ZA USAJILI T.791 BZR AINA YA NISSAN LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE SALUMU SELEMANI (45) MKAZI WA D’SALAAM KULIGONGA GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI T.778 CAN ISUZU FTR LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE EDWIN LUYENGA (40) NA KISHA KUGONGA KWA NYUMA GARI T.565 CVB/T.836 BBC AINA YA MAN LILILOKUWA LIMEHARIBIKA NA KUEGESHWA.
AJALI HIYO IMETOKEA MNAMO TAREHE 10.05.2015 MAJIRA YA SAA 20:10...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio latibuka Kenya

Maafisa wa usalama Kenya wamekabiliana na watu waliojihami na vilipuzi waliojaribu kuyalipua mabasi kwa guruneti huko Lamu

 

11 years ago

BBCSwahili

10 wajeruhiwa kwenye shambulizi Kenya

Angalau watu kumi wamejeruhiwa katika shambulizi la guruneti katika eneo moja la watalii mjini Mombasa.

 

11 years ago

GPL

SHAMBULIO LAUA WENGINE 5 KENYA

Mabaki ya magari katika shambulio la Mpeketoni. WATU watano wamepoteza maisha baada ya shambulio lililotokea usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Pandanguo huko Witu wilayani Lamu nchini Kenya kilometa 30 kutoka Mpeketoni yalipotokea mauaji ya watu zaidi ya 60 wiki iliyopita. Polisi wamesema kuwa waliouawa ni kutoka jamii mbalimbali. Mkuu wa Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo amesema kuwa washambuliaji walivamia kijiji cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani