Shambulio latibuka Kenya
Maafisa wa usalama Kenya wamekabiliana na watu waliojihami na vilipuzi waliojaribu kuyalipua mabasi kwa guruneti huko Lamu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SvPN3e*0rsa1Ujg1LC3gjQF0YRgwmbvAoNm*EJTgWwQvbgaQY4hFs6kSVvYbfTWIf5UoxzuMhWsiHhNtk*m*Zm/lamuattackshabaab.jpg?width=650)
SHAMBULIO LAUA WENGINE 5 KENYA
Mabaki ya magari katika shambulio la Mpeketoni. WATU watano wamepoteza maisha baada ya shambulio lililotokea usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Pandanguo huko Witu wilayani Lamu nchini Kenya kilometa 30 kutoka Mpeketoni yalipotokea mauaji ya watu zaidi ya 60 wiki iliyopita. Polisi wamesema kuwa waliouawa ni kutoka jamii mbalimbali. Mkuu wa Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo amesema kuwa washambuliaji walivamia kijiji cha...
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
10 wajeruhiwa katika shambulio Kenya
Watu wapatao 10 wamejeruhiwa katika shambulio la gruneti katika kituo kimoja cha utalii, kusini mwa mji wa Mombasa nchini Kenya.
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Shambulio bandia laleta maafa Kenya
Inchni kenya, katika chuo kikuu cha strathmore, mwanamke mmoja amefariki na zaidi ya wanafunzi 20 kujeruhiwa katika oparesheni ya kuiga shambulio la kigaidi ilioendeshwa chuoni humo.
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Jeshi la Kenya lafanya shambulio Somalia
Jeshi la Kenya limeshambulia maeneo mawili ya jimbo la Gedo nchini Somalia,ambalo ni makao ya wapiganaji wa kundi la Alshabaab
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8YTQUYokyeE93xgS14F4pIcPMFwevMKT1RLUuLH5EZT6*UEIMr37JA47zohEUFY4QHpqBWFRbxt3yZ7rgjYNTF1/map.png)
SHAMBULIO LA KIGAIDI LAUA 2 NA KUJERUHI 30 KENYA
WATU wawili wamepoteza maisha huku takribani 30 wakijeruhiwa baada ya watu wapatao watano wanaodaiwa kufunika nyuso zao kushambulia Chuo Kikuu cha Garrissa kilichopo Kaskazini mashariki mwa Kenya. Shambulio hilo linadaiwa kufanyika mapema leo wakati waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa katika sala yao ya alfajiri. Watu walioshuhudia tukio hilo wameeleza kuwa kuna majeruhi wengi ndani ya chuo hicho. Wapiganaji hao wanadaiwa kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*JoV1omPzSNBJRMYmIwv6srkVccE6Ngk*hRxMArCVxnFvjvlaC70Bv5KzbCQa8Gqkvm*bI*T0VOHzk52ZAMinhDFd7YdkHL8/MAUAJIKENYA16.jpg?width=650)
KENYA YAADHIMISHA MWAKA 1 WA SHAMBULIO LA KIGAIDI
Baadhi ya majeruhi wakitolewa eneo la maduka ya Westgate baada ya shambulio hilo. WANANCHI wa Kenya leo wanaadhimisha mwaka mmoja tangu shambulizi la kigaidi katika maduka ya Westgate ambapo takriban watu 67 walipoteza maisha wakiwemo washukiwa wanne wa shambulio hilo.
Shambulio hilo…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm8VfT71EOYMCMmegY*moSpk4Q4b6PGdkbRgd5eP6mFDxQBYSJD7WcnfN8oX3Cy2nh3RnfbCTTbzFk80QQMfENMJ/2.jpg)
30 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO NCHINI KENYA
Daladala zilizochomwa moto wakati wa shambulio hilo la Mpeketoni, Lamu nchini Kenya.
Magari yaliyochomwa moto katika kituo cha polisi cha Mpeketoni. WATU zaidi ya 30 wameuawa, hoteli mbili, kituo cha polisi na kituo cha mafuta…
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Shambulio la kigaidi laua nchini Kenya
Watu wenye silaha wameshambulia mji wa Wajir kaskazini mwa Kenya na kuua mtu mooja na wengine wanne wamejeruhiwa
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Shambulio laua tena Mombasa Kenya
Mtu mmoja ameuawa katika mapambano kati ya polisi na vijana mjini Mombasa, Kenya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania