Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUJIKUMBUSHE TULIKOTOKA. JOHN BROWN MPIGANAJI KATIKA KUMALIZA UTUMWA, ALIEJULIKANA KATIKA SHAMBULIO LAKE LA HARPER FERRY 1859

Mwanaharakati John Brown alienyongwa mwaka December 2, 1859 huko west Virgina, ambayo ilikuwa ni sehemu ya state ya Virginia kwa wakati huo, jina lake halitasahaulika kwa harakati zake za kupigania kuondosha biashara ya utumwa.Mji unaojulikana kama Charles Town ni mji iliopo west virginia ambayo zamani ilikuwa virginia wakati huo ambao alikamatwa na kuhukumiwa kunyongwa kwa mwa harakati aliekuwa akinga biashara ya utumwa  Bw. John BrownJefferson County Courthouse. Beginning on October 25,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TUJIKUMBUSHE TULIKOTOKA

Tujikumbushe tulikotoka, itakuwa inawajia kila jumamosi na jumapili, tutakuwa tunaweka picha na video za matokeo mbali mbali yaliopita,(zamzni) ikwa mashuleni, kijijini, kazini, michezoni, maghafali mbali mbali, maigizo, nyimbo na picha binafsi. tafadhali tutumie kupitia email tujikumbushetulikotoka@gmail.com vikiambatana na maelezo, ili wasomaji na wadau wa vijimambo tuweze kujikumbusha mambo tuliopitia
Dr. Salmin Amour Juma alipokuwa rais wa zanzibar akiwa na mama Salma Salmin

 

10 years ago

Ykileo

TUJIKUMBUSHE MATUKIO MAKUBWA MATANO YAKIDUKUZI KATIKA MAKAMPUNI MAARUFU

Tukiwa tupo ndani ya Mwezi wa kuhamasisha uelewa wa matumizi salama ya mitandao, Marufu kama “NATIONAL CYBERSECURITY AWARENESS MONTH” nimeona si vibaya tukajikumbusha matukio muhimu matano ya kiuhalifu mtandao yaliyojiri mwaka huu.


Huku mataifa mbali mbali yakiendelea kujipanga katika mapambano dhidi ya uhalifu mtandao, bado matukio ya kiuhalifu mtandao yameendelea kuitikisa dunia. Yafuatayo ni matukio matano niliyo chagua kuyajadili siku ya leo.


NEIMAN MARCUS


Mwezi wa pili mwaka huu wa 2014,...

 

10 years ago

BBCSwahili

9 wauawa katika shambulio Marekani

Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha na pikipiki.

 

11 years ago

BBCSwahili

10 wajeruhiwa katika shambulio Kenya

Watu wapatao 10 wamejeruhiwa katika shambulio la gruneti katika kituo kimoja cha utalii, kusini mwa mji wa Mombasa nchini Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

2 wauawa katika shambulio jipya Marekani

Saa chache baada ya rais Obama kulalamikia mauaji yanayofanywa kutumia silaha nchini Marekani, 2 wameuawa katika shambulio jipya.

 

11 years ago

GPL

30 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO NCHINI KENYA

Daladala zilizochomwa moto wakati wa shambulio hilo la Mpeketoni, Lamu nchini Kenya.
Magari yaliyochomwa moto katika kituo cha polisi cha Mpeketoni. WATU zaidi ya 30 wameuawa, hoteli mbili, kituo cha polisi na kituo cha mafuta…

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 11 wauawa katika shambulio Ufaransa

Watu 11 wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa katika Ofisi ya Gazeti jijini Paris nchini Ufaransa

 

9 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa katika shambulio la kambi ya UN

Watu 3 wamefariki katika shambulio la roketi katika kambi moja ya vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kaskazini mwa Mali,Umoja wa mataifa umesema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 3 wauawa katika shambulio Colorado

Watu 3 wameuawa baada ya kupigwa risasi na mtu mmoja aliyevamia kituo cha kupanga uzazi katika eneo la Colorado Springs nchini Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani