Rais aipasua kichwa Ukawa 2015
Baada ya vyama vinne vya upinzani nchini kusaini makubaliano ya kushirikiana pamoja na kusimamisha mgombea mmoja katika chaguzi zote zijazo, umoja huo sasa unakabiliwa na kazi ngumu ya kuweka sawa mambo, ikiwa ni pamoja na mchakato wa kumpata mgombea urais, kabla ya filimbi ya uchaguzi kupulizwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Aug
Lipumba aipasua kichwa CUF
WANACHAMA wa Chama cha Wananchi (CUF) jana walimbana Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba wakimtaka kueleza ukweli juu ya taarifa zinazodai kuwa amejiuzulu wadhifa huo.
11 years ago
Habarileo02 Aug
Ukawa sasa pasua kichwa
LICHA ya agizo la Rais Jakaya Kikwete la kuwataka viongozi wa vyama vya siasa na wafuasi wao, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), kuacha kususa na kurejea katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ili kuendelea na mchakato huo, kufikia jana hakukuwa na mwelekeo wa kulegeza msimamo wao.
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Ukawa wataka kichwa cha Muhongo
10 years ago
Habarileo21 Apr
Majimbo yapasua kichwa wana-Ukawa
HATIMA ya kuachiana kwa majimbo ya uchaguzi kwa vyama vya siasa vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), inatarajiwa kujulikana wiki ijayo.
11 years ago
Mwananchi07 May
Kamati Kuu CCM yakuna kichwa kuikabili Ukawa
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa na Mgongo wazi Duniani 2015, yafana MOI
Meneja Ustawi wa Jamii na Mahusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Jumaa Almasi akizungumza kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Dk, Othman Kiloloma wakati wa Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa na Mgongo wazi Duniani 2015, aliomba kuitumia siku hiyo kwa kusheherekea siku hiyo adhim amabayo nisiku maalum kwa sababu vijana wetu ambao tunawaongelea leo hi kwetu sisi ni wagonjwa kwa maana yakwamba Tiba yao yote kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo7Uujad0KR0EHKV9vE9fYveZCMEdtBU*IxMQ0aTHmWttrhuMSKJCXGTGQVsBouDsgAku50uADy1U0OCUEaPa99H/rttr6567.gif?width=650)
MIKE SANGU AIPASUA NDOA YA DAVINA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n5V60KMkcIQ/XuUE827qPqI/AAAAAAALtsI/xHAIJcGWDToQ98I2uSw7EZ7gNiHS7VVpACLcBGAsYHQ/s72-c/2bd7e087-7cb0-4e28-a067-839dc1a7aeed.jpg)
KHERI JAMES AIPASUA NGOME YA CHADEMA ROMBO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-n5V60KMkcIQ/XuUE827qPqI/AAAAAAALtsI/xHAIJcGWDToQ98I2uSw7EZ7gNiHS7VVpACLcBGAsYHQ/s640/2bd7e087-7cb0-4e28-a067-839dc1a7aeed.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/86bc5b5d-7012-4b60-835d-758df0fc4f40.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/e394d6b4-0292-4e58-b661-2aa2baf60dcc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1b7acee4-723b-4d94-a676-27c7392b5b3a.jpg)
************************************Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Komred Kheri James amepasua ngome ya Upinzania katika Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro kwa Kupokea Viongozi mbalimbali wa Chama Hicho.Viongozi walio pokelewa leo ni Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Rombo ndg Athuman...