Rais atuma rambirambi ajali ya Singida
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Singida, Parseko Kone kutokana na vifo vya watu 19, wakiwemo polisi wanne na viongozi watatu wa Kijiji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM01 Aug
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI AJALI YA BASI LA MORO BEST
Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia...
9 years ago
Michuzi
Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi Ajali ya Basi la New Force Iringa

Ajali hiyo imetokea tarehe 18 Desemba, 2015 Majira ya saa nane mchana katika Kijiji cha Mahenge, Wilaya ya Kilolo Mkoani IRINGA ambapo Basi la kampuni ya New Force lenye namba T 483 CTF lililokuwa limebeba abiria 49 limegongana...
10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS WA CHINA KUFUATIA VIFO VYA WACHINA 400 KATIKA AJALI YA BOTI

Meli ya kitalii ya Eastern Star ilizama katika Mto wa Yangtze, karibu na mji wa Jianli, Jimbo la Kati la Hubei, Jumatatu usiku ikiwa na abiria 456 waliokuwa wanafanya safari ya...
10 years ago
Michuzi04 Mar
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI

Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...
11 years ago
Michuzi.bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
.bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...
11 years ago
Michuzi30 Apr
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Rais Kikwete atuma rambirambi
 Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Masaburi kutokana na kifo cha Diwani wa Kata ya Mchafukoge, Jijini Dar es Salaam na mbunge wa zamani wa Dodoma Mjini, Hashim Sagaf.
11 years ago
Habarileo05 Mar
Rais Kikwete atuma rambirambi China
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Rais wa China, Xi Jinping, kutokana na vifo vya watu 28 vilivyosababishwa na shambulio la kigaidi hivi karibuni na kujeruhi wengine zaidi ya 130.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania