Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais, Chama cha Soka Ujerumani ajiuzulu

Rais wa Chama cha Soka Ujerumani -DFB- Wolfgang Niersbach amejiuzulu kwa tuhuma za ukwepaji kodi na kujihusisha na rushwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

CHAMA CHA WAFUGAJI CHAMTAKA KATIBU MKUU WAKE AJIUZULU

Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Wafugaji  Tanzania, Masanja Ntwale (katikati) akizungumza jambo.  Wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa CCWT, Ally Lumiye na wengine viongozi wa chama hicho.
Lumiye akitoa ufafanuzi baada ya kuulizwa swali na wanahabari.…

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA: IBRAHIMU LIPUMBA AJIUZULU UENYEKITI KATIKA CHAMA CHA CUF LEO


Aliyekuwa  Mwenyekiti wa chama cha CUF taifa, Profesa Ibrahimu Lipumba akizungumza ngumza na waandishi wa habari kuhusiana na kung'atua rasmi umwenyekiti wa chama hicho na kuendelea kuwa mwanachama wakawaida wa chama hicho ikiwa atakuwa mwanachama halali kwani kadi yake ya uanachama ameshailipia mpaka mwaka 2020 hayo ameyasema katika ukumbi wa mikutano wa Peacock hoteli jijini Dar es Salaam leo. Aliyekuwa  Mwenyekiti wa chama cha CUF taifa, Profesa Ibrahimu Lipumba akiwa na wananchi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais ajiuzulu ni baada ya kikao kizito Dodoma kufuatia mgongano wa kimaslai ndani ya Chama

kkk

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu  Tanzania (Tanzania Red Cross Society-TRCS), Dk. George Nangale (pichani), kwa habari zilizotufikia chumba cha Habari cha Mo dewji blog ni kuwa amejiuzulu nafasi yake hiyo.

Habari hizo zilibainisha kuwa, Dk. Nangale tayari amewasilisha barua rasmi ya kujiuzulu huku akikabidhi vitu muhimu ikiwemo funguo ya gari ambayo alikuwa akiitumia kama Rais ama Mwenyekiti wa Chama, katika makao makuu ya Red Cross, Mikocheni Jijini Dar...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO WAALIKWA UJERUMANI

MWENYEKITI wa Chama cha ACT Wazalendo mama Anna Mghwira (kulia) akiongozana na katibu mkuu  Ndugu samson mwigamba na katibu wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ndugu Venance Msebo leo tarehe 15 julai 2015 wameanza ziara ya siku saba nchini ujerumani kwa mwaliko wa chama rafiki cha kijamaa (Die Linke Party).
Katika ziara hiyo pamoja na kutembelea die linke party, watapata fursa ya kutembelea ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani na pia watafanya mkutano na watanzania wanaoishi nchini...

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM JIJINI DODOMA


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 10 Juni 2020.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akicheza Wimbo wa Hamasa ya maendeleo pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 10 Juni 2020 kabla ya kuanza kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Chama cha soka England (FA) chamfungia rasmi Schweinsteiger mechi 3

wes

Chama cha soka cha England ( FA) kimetangaza rasmi kumfungia kiungo wa Manchester United, Bastian Schweinsteiger Mechi 3.

FA-Rungu-1

Adhabu hii inaanza mara moja baada ya Mjerumani huyo kuamua kutopinga mashitaka yake kwa kosa ambalo refa hakuliona na badala yake kuhukumiwa kwa ushahidi wa mkanda wa video.

wes

Schweinsteiger mwenye miaka 31, anadaiwa kumpiga beki wa West Ham Winston Reid kwa mkono walipokuwa wakigombea mpira wa free kick katika mechi ya ligi kuu England iliyomalizika 0-0 Jumamosi...

 

10 years ago

GPL

RAIS JAKAYA KIKWETE AMUANDALIA RAIS WA UJERUMANI DHIFA YA KITAIFA YA CHAKULA CHA USIKU, IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete(wa pili kutoka kulia) na mgeni wake Rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck (wa tatu kutoka kulia) wakifurahia wakati wa dhifa ya kitaifa ya chakula cha usiku aliyomwandalia  kiongozi   huyo jana usiku, Ikulu jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mke wa Rais wa Tanzania, mama Salma Kikwete na Mke wa Rais wa Ujerumani Bi. Daniella Schadt.…
...

 

10 years ago

Michuzi

Francois Botha na rais wa chama cha ngumi cha dunia cha WBF, Howard Goldberg kuwasili nchini tayari kwa kusimamia pambano la masumbwi machi 27

 Bingwa wa zamani wa dunia wa uzito wa juu, Francois Botha na rais wa chama cha ngumi cha dunia cha WBF, Howard Goldberg wanatarajiwa kuwasili nchini kesho Machi 23, tayari kwa  kusimamia pambano la Mohamed Matumla Jr na Wang Xiu Hua wa China. 
Botha atawasili nchi kwa mara ya pili kwa mualiko maalumu wa Kampuni ya Hall Of Fame inayoandaa mapambano ya ngumi ndani na nje ya nchi. Nguli huyo wa masumbwi anatarajiwa kuwasili saa 12 jioni na ndege ya Shirika la ndege la Afrika Kusini sambamba na...

 

10 years ago

Michuzi

UJUMBE WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI WAKUTANA NA BAADHI YA WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR

Mjumbe wa Kamati ya CCM Taifa Bi. Khadija Hassan Aboud akimkaribisha Mbunge ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha FRELIMO cha Msumbiji Bi. Nyeleti Mondlane Ofisi kuu ya CCM Zanzibar. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha FRELIMO cha Msumbiji Bi. Nyeleti Mondlane akisaini kitabu cha wageni alipofika Ofisi kuu ya CCM Zanzibar (kulia) Katibu wa FRELIMO Zanzibar Bw. Agostino Andrea. Kiongozi wa Ujumbe wa Chama cha FRELIMO Bi. Nyeleti Mondlane (watatu kushoto) akibadilishana mawazo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani