Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA GAVANA WA BOT

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Gavana wa Benki  Kuu ya Tanzania (BOT) Profesa Florens Luoga alipofika Ikulu Jijini Zanzibar  kwa  mazungumzo  na Rais  akiongozana na Ujumbe wake (kulia)  yaliofanyika katika wa ukumbi wa Ikulu Zanzibar. (Picha na Ikulu)  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Profesa Florens Luoga, alipofika Ikulu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS IKULU

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , wakati wa mkutano wa kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Kiongozi  na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la ...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA WASANII NA WABUNIFU ZANZIBAR.

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wasanii mbalimbali wa Unguja na Pemba katika mkutano wake uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar leo 12-3-2020.(Picha na Ikulu)
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na wasanii mbalimbali wa Zanzibar katika mkutano uliofanyika leo ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar katika...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ



 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ,  uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar,  wakati wakiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, (kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi.Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee  na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali  katika kikao cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo mbili Julai-Disemba2019  kilichofanyika leo katika ukumbi Ikulu Mjini Zanzibar.  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali  katika kikao cha Utekelezaji wa Mpango kazi...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA WAZIRI SIMBACHAWENE IKULU JIJINI ZANZIBAR

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.    Mhe. Goerg  Simbachawene, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kujitambulisha na kufanya mazunguzo yaliofanyika leo 10-3-2020, katika ukumbi wa Ikulu., baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Mhe. Goerg Simbachawene,...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS DKT SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA CCM KASKAZINI UGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Viongozi katika Mkoa wa Kaskazini Unguja akiwa katika jitihada zake za kuimarisha Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Mkoa huo,(kulia) Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai, na  wa kwanza (kushoto) Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Taifa Khadija Hassan Aboud akifuatiwa na Mwenyekiti wa CCM Kaskazini A Unguja  Ali Makame Khamis, sambamba na jitihada hizo leo anatarajiwa...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati katika Mkutano wa Utekelezaji Mpango kazi kwa Kipindi cha Julai-Disemba 2019, uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.  Waziri wa Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati Salama Aboud Talib (katikati) akifafanua jambo katika Mkutano wa Utekelezaji Mpango kazi kwa Kipindi cha Julai-Disemba 2019, kwa Wizara hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa ...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA MABALOZI NA WENYEVITI WA WILAYA MFENESINI CCM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Mabalozi na Wenyeviti wa Maskani katika ukumbi wa Tawi la Chuo cha Mwalimu Nyerere Bububu Kihinani Mkoa wa Magharibi Kichama akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama cha Mapinduzi CCM katika Wilaya ya Mfenesini.Balozi wa Shina namba 36 Jimbola Mtoni Abdul-Aziz Salum akisoma risala ya Mabalozi wa Wilaya ya Mfenesini Kichama mbele ya Rais wa Zanzibar na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani