Rais Jakaya Kikwete awapa zawadi ya Idd mahabusu ya watoto Arusha
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha, Addoh Mapunda (wa pili kulia)kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete akimkabidhi zawadi za Idd el Hajj Meneja wa Mahabusu ya Watoto mkoa wa Arusha, Mussa Mapua jana kwa ajili ya kusherekea siku kuu hiyo leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Kikwete ametoa zawadi mbalimbali katika Mahabusu ya watoto walikinzana na sheria iliyopo jijini Arusha.
Akikabidhi zawadi hizo kwa niaba ya Rais Kikwete,Katibu Tawala wa mkoa wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cs_oSA4pkhE/VgKiRqhU1TI/AAAAAAAAExs/AlJJysri-4I/s72-c/jk%2B1.jpg)
JK AWAPA ZAWADI YA IDD MAHABUSU YA WATOTO ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-cs_oSA4pkhE/VgKiRqhU1TI/AAAAAAAAExs/AlJJysri-4I/s640/jk%2B1.jpg)
9 years ago
VijimamboRAIS DK. JAKAYA KIKWETE ATOA ZAWADI YA IDD EL HAJI KWA MAKUNDI MBALIMBALI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Go-EhjJtIDo/VSQeES9FdfI/AAAAAAADhOE/8eH54CeQp_k/s72-c/kids_jail.jpg)
Rais Kikwete awakumbuka watoto mahabusu Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-Go-EhjJtIDo/VSQeES9FdfI/AAAAAAADhOE/8eH54CeQp_k/s1600/kids_jail.jpg)
Na Mussa Juma, Mwananchi
Atoa mbuzi wawili kwa ajili ya kushereheka Pasaka
Arusha. Rais Jakaya Kikwete ametoa msaada wa mbuzi wawili, chakula na mafuta kwa watoto waliopo mahabusu mkoani hapa ili kusheherehea Sikukuu ya Pasaka.Akikabidhi msaada huo, Ofisa Maendeleo ya Jamii Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha, Thabita Matiko alisema juzi kuwa vitu vyote hivyo vina thamani ya Sh400,000.
Alisema watoto hao wanapaswa kusherehekea Pasaka kama wengine wanaoishi na wazazi wao.
Wakati huohuo, Ofisa Ustawi...
10 years ago
Mwananchi06 Apr
FURAHA YA SIKUKUU: Rais Kikwete awakumbuka watoto mahabusu Arusha
>Rais Jakaya Kikwete ametoa msaada wa mbuzi wawili, chakula na mafuta kwa watoto waliopo mahabusu mkoani hapa ili kusheherehea Sikukuu ya Pasaka.
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA
5 years ago
MichuziTaasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) yatoa Zawadi kwa watoto
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi mtoto mwenye matatizo ya moyo aliyelazwa katika Taasisi hiyo Elizabeth Omari zawadi ya Pasaka wakati wa ugawaji wa zawadi hizo kwa watoto leo Jijini Dar es Salaam
Maafisa Uuguzi wa wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiongozwa na Mkurugenzi wa Kurugenzi ya huduma ya Uuguzi Robert Mallya kumkabidhi zawadi ya pasaka mama wa mtoto Wilson Willium wakati wa...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete awapa Futari Watoto Yatima
10 years ago
VijimamboWATOTO wamuomba Rais Jakaya Kikwete kutilia mkazo mabadiliko ya sheria
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WKyM3IlQ0Lo/VXhgJiWEEDI/AAAAAAAHehE/ENJaSUJ9Q_8/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA ALBINO ARUSHA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Albino kitaifa yatayofanyika Juni 13,mwaka huu kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo,Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda alisema wamepata fursa ya kuwa wenyeji kutokana na kutokua na matukio ya ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na takwimu za mkoa wapo Albino 199.
“Mkoa una jumla ya watu wenye...
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo,Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda alisema wamepata fursa ya kuwa wenyeji kutokana na kutokua na matukio ya ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na takwimu za mkoa wapo Albino 199.
“Mkoa una jumla ya watu wenye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania