RAIS JAKAYA KIKWETE TAYARI AMESHASAINI SHERIA YA MAKOSA YA MITANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-_qhCwT6pmAk/VU3F4wrV3kI/AAAAAAAAAQA/8AVyt4emKe8/s72-c/10422028_1215221898492226_203965690991484055_n.jpg)
Rais Jakaya Kikwete tayari ameshasaini sheria yenye utata ya makosa ya mtandao na muda wowote kuanzia sasa itaanza kutumika rasmi.
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, amesema hayo leo wakati akizungumzia masuala mbali mbali yanayohusu sheria hiyo ambayo kupitishwa kwake kumesababisha malalamiko mengi kutoka kwa wadau kuwa itaminya uhuru wa habari, kuingilia faragha pamoja na uhuru wa watu kuwasiliana.Ufuatao hapa chini ni uchambuzi kidogo kuhusu baadhi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Tamko la TBN kumuomba Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete asipitishe Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandaoni, 2015
Tamko la Bloggers Tanzania.pdf by moblog
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Haki-za-Binadamu-620x308.jpg)
SHERIA YA MAKOSA YA MITANDAO YAPINGWA MAHAKAMANI
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Sheria ya Makosa ya Mitandao itawasadia wasanii
9 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WAELIMISHWA JUU YA SHERIA ZA MAKOSA YA MITANDAO
9 years ago
VijimamboWAANDISHI WA HABARI WAELIMISHWA JUU YA SHERIA NA MAKOSA YA MITANDAO
9 years ago
StarTV19 Sep
Wakazi wa Arusha wafuraishwa na matumizi ya sheria ya makosa ya mitandao.
Sheria za makosa ya mtandao na miamala ya kielektoniki za mwaka 2015 zimeonesha kupokelewa vema na wakazi wa jiji la Arusha kutokana na adha mbalimbali walizokuwa wanakabiliana nazo kabla ya kuanza kwa sheria hizo.
Wakazi hao wameonesha kufurahishwa na jitihada zinazofanywa na Serikali kupambana na makosa ya mtandao hasa katika nyakati hizi ambapo matukio ya namna hiyo yameshamri.
Wakati wananchi wakizungumza hayo Wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia imeandaa kikao...
10 years ago
VijimamboWATOTO wamuomba Rais Jakaya Kikwete kutilia mkazo mabadiliko ya sheria
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mbunifu wa Mavazi wa Kimataifa Sheria Ngowi akutana na Rais Jakaya Kikwete IKULU Jijini Dar es Salaam leo
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)akibadilishana mawazo na Rais Jakaya Kikwete IKULU Leo Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali.
Rais Jakaya Kikwete akijadiliana na Ujumbe maalum ukiongozwa na Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa kwanza Kulia)ikulu jijini Dar es Salaam Leo.
Rais Jakaya Kikwete akipitia baadhi ya sample za vitambaa vya nguo vinavyotumiwa na mbunifu wa mavazi wa kimatafaifa Sheria Ngowi (kulia) IKULU Jijini Dar es Salaam...