Rais Kikwete amuandikia barua Tenga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete. Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amemuandikia barua Rais Mstaafu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Tenga, akimshukuru kwa mchango wake wa kuliendeleza soka la Tanzania. Katika barua yake hiyo, Rais Kikwete amemtaka Tenga asichoke kutoa ushauri na uzoefu wake kila utakapohitajika katika shughuli...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Barua ya wazi kwa Rais Kikwete II
WABUNGE na Wawakilishi hawa wana nafasi ya kufanyia marekebisho Katiba ya sasa chini ya Ibara ya 98; lakini hawakuchaguliwa na mtu hata mmoja kuwa sehemu ya kuandika Katiba mpya ya...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Maalim Seif amwandikia barua Rais Kikwete
11 years ago
CloudsFM12 Jun
AY AWAKILISHA BARUA YA WAKULIMA KWA RAIS KIKWETE
Hivi karibuni katika hoteli ya Double Tree mbele ya mgeni wa heshima Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete, balozi wa taasisi ya One Africa,msanii AY mzee wa ‘commercial’ aliwakilisha na kuisoma barua ya wazi kutoka wakulima waliyompatia aifikishe kwa rais, AY alikuwa na wasanii wenzake Profesa Jay na Mrisho Mpoto.
11 years ago
GPL
BARUA KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, JAKAYA MRISHO KIKWETE
10 years ago
Vijimambo
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA

Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...
10 years ago
Bongo522 Oct
Kanye West amuandikia ujumbe mtamu wa birthday mkewe Kim Kardashian
11 years ago
Michuzi24 Feb
Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga


5 years ago
CCM Blog
RAIS TRUMP ALIMWA BARUA NA SPIKA WA BUNGE

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa tarehe 4 Juni, Spika Pelosi amesema kuwa wameshuhudia wanajeshi kwenye ngazi za Lincoln Memorial na sehemu nyingine za jiji la Washington, yalipo makao makuu ya taifa hilo.
==>>Tafsiri ya barua ya Spika Nancy Pelosi kwa Donald...