Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AY AWAKILISHA BARUA YA WAKULIMA KWA RAIS KIKWETE

Hivi karibuni katika hoteli ya Double Tree mbele ya mgeni wa heshima Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete, balozi wa taasisi ya One Africa,msanii AY mzee wa ‘commercial’ aliwakilisha na kuisoma barua ya wazi kutoka wakulima waliyompatia aifikishe kwa rais, AY alikuwa na wasanii wenzake Profesa Jay na Mrisho Mpoto.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Barua ya wazi kwa Rais Kikwete II

WABUNGE na Wawakilishi hawa wana nafasi ya kufanyia marekebisho Katiba ya sasa chini ya Ibara ya 98; lakini hawakuchaguliwa na mtu hata mmoja kuwa sehemu ya kuandika Katiba mpya ya...

 

11 years ago

GPL

BARUA KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, JAKAYA MRISHO KIKWETE

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. KWA: MHE. RAIS WA JAMHURI YA  MUUNGANO WA TANZANIA, JAKAYA MRISHO KIKWETE
Ndugu,
YAH: UNYANYASAJI ULIOPITILIZA WA BODI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WASOMAO CHINA Tafadhali rejea mada iliyotajwa hapo juu.
Mheshimiwa Rais, awali ya yote, tunapenda kuchukua fursa hii kukupa pole na majukumu yako ya kila siku na kukutakia heri ya Mwaka Mpya. Mheshimiwa, tunaandika  barua hii ya  wazi kwako...

 

11 years ago

GPL

Rais Kikwete amuandikia barua Tenga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete. Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amemuandikia barua Rais Mstaafu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Tenga, akimshukuru kwa mchango wake wa kuliendeleza soka la Tanzania. Katika barua yake hiyo, Rais Kikwete amemtaka  Tenga asichoke kutoa ushauri na uzoefu wake kila utakapohitajika katika shughuli...

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif amwandikia barua Rais Kikwete

Mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amemwandikia barua Rais Jakaya Kikwete kumwomba wakutane ili kuzungumzia hali ya kisiasa ya Zanzibar, baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, 2015 kufutwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete azindua benki ya kwanza ya Wakulima Tanzania

2

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua benki ya Maendeleo ya Kilimo.

3

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza wakati wa uzinduzi wa benki ya Maendeleo ya Kilimo.

1

Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo, Thomas Samkyi akizungumza wakati wa uzinduzi wa benki ya wakulima Tanzania (TADB), uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu JK Nyerere.

5

Mwenyekiti wa Bodi ya benki ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama Barabarani

unnamed (3)

Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.

Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na...

 

9 years ago

Michuzi

BARUA YA WAZI KWA RAIS DR. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA MDAU WA USALAMA BARABARAN


Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, 

Nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.

Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na matukio...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Njoolay akabidhi barua ya pongezi kwa Rais Mteule wa Nigeria Generali Mstaafu Muhammadu Buhari

Tarehe 28 Aprili 2015 Balozi wa Tanzania, Nchini Nigeria Mhe. Daniel Ole Njoolay, alimkabidhi Rais Mteule wa Nigeria Generali Mstaafu Muhammadu Buhari, barua ya pongezi toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Jakaya Mrisho Kikwete. 
Rais Mteule Jenerali Buhari alimshukuru Rais Kikwete kwa salamu hizo na kukiri kwamba alikwishapokea simu ya pongezi kutoka kwake mara tu baada ya matokeo kutangazwa. Wakati wa mazungumzo yake na Balozi Njoolay, Generali Buhari aliisifu Tanzania kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani