Rais Kikwete awapandisha vyeo makanali
Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, amewapandisha vyeo maofisa 28 kutoka Kanali na kuwa Brigedia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aqzzfdbp_RY/Xtez23srkLI/AAAAAAALshs/UTETNYaINM4RmycXUY-wbEASN3GZOnUrQCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AWAPANDISHA VYEO MAAFISA WAKUU KUWA BRIGEDIA JENERALI NA WENGINE MEJA JENARALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aqzzfdbp_RY/Xtez23srkLI/AAAAAAALshs/UTETNYaINM4RmycXUY-wbEASN3GZOnUrQCLcBGAsYHQ/s640/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Joseph Pombe Magufuli amewapandisha vyeo Maafisa Wakuu kuwa Brigedia Jenerali na wengine kuwa Meja Jenerali kuanzia tarehe 02 Juni, 2020.
Miongoni mwa waliopandishwa cheo kuwa Brigedia Jenerali ni pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kanali (Balozi) Wilbert Augustin Ibuge na Kamishna wa Kazi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Kanali Francis Ronald...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
JK awapandisha vyeo maofisa wa JWTZ
RAIS Jakaya Kikwete amewapandisha cheo maofisa wakuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kutoka Kanali na kuwa Brigedia Jenerali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
RAIS KIKWETE AWAVUA VYEO MAWAZIRI WANNE
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi . Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha.…
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AWAVISHA VYEO VYA MRAKIBU MSAIDIZI WAHITIMU 104 WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9X_o7pU2LAo/VY8pmAau_MI/AAAAAAAHksI/61vyGFP5VeU/s72-c/a1.jpg)
RAIS KIKWETE MGENI RASMI SIKU YA MAGEREZA, AWAVISHA VYEO VYA MRAKIBU MSAIDIZI WAHITIMU 104 WA JESHI LA MAGEREZA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-9X_o7pU2LAo/VY8pmAau_MI/AAAAAAAHksI/61vyGFP5VeU/s640/a1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t4-eC8CfCdE/VY9UEnvgMNI/AAAAAAAHk_I/2xIxYYQv9_w/s640/a6.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Sep
JK awapandisha saba JWTZ
NA MWANDISHI WETU
AMIRI Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete amewapandisha vyeo Maofisa saba wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kutoka cheo cha Brigedia hadi kuwa Meja Jenerali.
Hatua hiyo aliitekeleza kwa mujibu wa kanuni za majeshi ya ulinzi ya Tanzania ambazo zinatambulika kisheria.
Maofisa waliopandishwa vyeo ni Brigedia Jenerali Gaudence Milanzi, Brigedia Jenerali James Mwakibolwa, Brigedia Jenerali Ndetaulwa Zakayo na Brigedia Jenerali Venance Mabeyo.
Wengine ni Brigedia Jenerali Simon...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MA1_ZFohI7c/VJgW4lraY4I/AAAAAAAAZho/geWMTtNN3d0/s640/D92A4124.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s1600/unnamed.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania