RAIS KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA UZINDUZI WA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZT7IfaFhxUw/U_5heE2LZWI/AAAAAAAGFeY/WNmcVeH0oXA/s72-c/ng7.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakipokea nyimbo za Taifa za nchi zao eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wananchi wa Tanzania na Burundi katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--Pjy7gs0ZLQ/U_zvC7pgwlI/AAAAAAAGCkY/sk-hXqqKHQo/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
RAIS KIKWETE KUZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA
Programu hiyo inayofanywa na wataalam wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi itazinduliwa rasmi Agosti 28, katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3UND5LUDuNY/U_zwezgoKtI/AAAAAAACoO8/Rqqz6j7XHQE/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UND5LUDuNY/U_zwezgoKtI/AAAAAAACoO8/Rqqz6j7XHQE/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rPdcXeYZs7w/U_zwnHs3ntI/AAAAAAACoPE/bvOA4kounCs/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd662*piSZOpHYmLWAbXk4IqlTFiBzmX-Yrpp*dGPhEVgF3fze69KScRsOprfGe4u5nn0vs-8dLLBdFzS5yEMabIU8/Pichana1.jpg?width=650)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA
10 years ago
Habarileo28 Aug
Kikwete azindua programu uimarishaji mipaka
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa kwa lengo la kuhuisha alama zilizopo na kuweka mpya katika maeneo ya mipaka ya Tanzania.
10 years ago
GPLSERIKALI YATOA TAARIFA YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s1600/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6it8odIcDc/U2OWZKGIrCI/AAAAAAAFe6w/SrXr3-XH5AY/s1600/3B.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI KATIKA SHEREHE ZA UHURU WA MSUMBIJI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ij09w8YODhI/Uu9gHR01JqI/AAAAAAAFKmk/-Z-lE4pgl-Q/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Mama Kikwete katika sherehe za kutimiza miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani lindi
![](http://3.bp.blogspot.com/-ij09w8YODhI/Uu9gHR01JqI/AAAAAAAFKmk/-Z-lE4pgl-Q/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PtlX2mNp2Oc/Uu9gE4xpOgI/AAAAAAAFKlw/QAbrRTeSqAA/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qihkaSIs2eI/Uu9gCVNZSsI/AAAAAAAFKlA/DLahg4M9p2A/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9zdgFBWMdU/Uu9gDX7dXzI/AAAAAAAFKlc/cDuS27lMro8/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
Rais Kikwete katika sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh.Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad katikati ni Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar Mh. Shamsi Vuai Nahodha.(Picha na Freddy Maro wa Ikulu)
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh.Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu Mh Benjamin Mkapa wakati wa maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi Zanzibar zilizofanyika kwenye uwanja wa Amani, Katikati...