RAIS KIKWETE KUZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA
![](http://2.bp.blogspot.com/--Pjy7gs0ZLQ/U_zvC7pgwlI/AAAAAAAGCkY/sk-hXqqKHQo/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa kwa lengo la kuhuisha alama zilizopo na kuweka mpya katika maeneo ya mipaka ya Tanzania ambayo awali yalikuwa yametengwa na mito na baadaye mito hiyo kukauka .
Programu hiyo inayofanywa na wataalam wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi itazinduliwa rasmi Agosti 28, katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3UND5LUDuNY/U_zwezgoKtI/AAAAAAACoO8/Rqqz6j7XHQE/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UND5LUDuNY/U_zwezgoKtI/AAAAAAACoO8/Rqqz6j7XHQE/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rPdcXeYZs7w/U_zwnHs3ntI/AAAAAAACoPE/bvOA4kounCs/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd662*piSZOpHYmLWAbXk4IqlTFiBzmX-Yrpp*dGPhEVgF3fze69KScRsOprfGe4u5nn0vs-8dLLBdFzS5yEMabIU8/Pichana1.jpg?width=650)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZT7IfaFhxUw/U_5heE2LZWI/AAAAAAAGFeY/WNmcVeH0oXA/s72-c/ng7.jpg)
RAIS KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA UZINDUZI WA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZT7IfaFhxUw/U_5heE2LZWI/AAAAAAAGFeY/WNmcVeH0oXA/s1600/ng7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6AaarQ9ah0I/U_5he4CuarI/AAAAAAAGFeg/RK0ztkFFeeU/s1600/ng9.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Aug
Kikwete azindua programu uimarishaji mipaka
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa kwa lengo la kuhuisha alama zilizopo na kuweka mpya katika maeneo ya mipaka ya Tanzania.
10 years ago
GPLSERIKALI YATOA TAARIFA YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA NCHINI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s72-c/_MG_4455.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUZA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUZINDUA MRADI WA NYUMBA ZA NHC MKOANI MTWARA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s640/_MG_4455.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UB0CWUvfB3w/VcdCU8rjRNI/AAAAAAAC9gA/QHJXiLVZqwg/s640/_MG_4500.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFHOM6OmXlk/VcdCVQS3PQI/AAAAAAAC9f4/i0uoVlAShlQ/s640/_MG_4504.jpg)
5 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE KUZINDUA PROGRAMU YA KULIOMBEA TAIFA, RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-c2noU-I9vfI/Xkg7vaUqI5I/AAAAAAALdhE/0qFIZlywFj8ED4afuu0gAu9obtSaYKBpQCLcBGAsYHQ/s640/Kiongozi-Mkuu-wa-Huduma-ya-Sauti-ya-Uponyaji-Tanzania-Nabii-Joshua-Aram-Mwantyala-akikagua-Ukumbi-wa-Mwalimu-Nyerere-Chuo-cha-Mipango-Dodoma-kwa-ajili-ya-kongamano..jpg)
Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala akikagua Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Chuo cha Mipango Dodoma kwa ajili ya kongamano.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kesho anatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Kuliombea Taifa ambayo inalenga kumshirikisha Mungu vipaumbele na sera zinazotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano ili matokeo chanya yazidi kuonekana kila sekta.
Uzinduzi huo utafanyika jijini Dodoma katika Chuo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XbHnMGMJulw/Vfm0oVC8jAI/AAAAAAAH5ac/xAiNC6cX-fA/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
MKUTANO WA UIMARISHAJI NA UHAKIKI WA MIPAKA KATI YA TANZANIA NA KENYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XbHnMGMJulw/Vfm0oVC8jAI/AAAAAAAH5ac/xAiNC6cX-fA/s1600/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU UKUMBI WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM LEO