Kikwete azindua programu uimarishaji mipaka
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa kwa lengo la kuhuisha alama zilizopo na kuweka mpya katika maeneo ya mipaka ya Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--Pjy7gs0ZLQ/U_zvC7pgwlI/AAAAAAAGCkY/sk-hXqqKHQo/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
RAIS KIKWETE KUZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa kwa lengo la kuhuisha alama zilizopo na kuweka mpya katika maeneo ya mipaka ya Tanzania ambayo awali yalikuwa yametengwa na mito na baadaye mito hiyo kukauka .
Programu hiyo inayofanywa na wataalam wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi itazinduliwa rasmi Agosti 28, katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la...
Programu hiyo inayofanywa na wataalam wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi itazinduliwa rasmi Agosti 28, katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3UND5LUDuNY/U_zwezgoKtI/AAAAAAACoO8/Rqqz6j7XHQE/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UND5LUDuNY/U_zwezgoKtI/AAAAAAACoO8/Rqqz6j7XHQE/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rPdcXeYZs7w/U_zwnHs3ntI/AAAAAAACoPE/bvOA4kounCs/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd662*piSZOpHYmLWAbXk4IqlTFiBzmX-Yrpp*dGPhEVgF3fze69KScRsOprfGe4u5nn0vs-8dLLBdFzS5yEMabIU8/Pichana1.jpg?width=650)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA
Kaimu Katibu Tawala wa wilaya ya Ngara Bw. Hussein Seif akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa maandalizi ya shughuli ya uzinduzi wa Programu ya uimarishaji wa mipaka ya Kimataifa wa wilaya ya Ngara itakayozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete eneo la Mugikomero mpakani mwa Tanzania na Burundi. Wanaoonekana nyuma ni raia wa Burundi waishio mpakani. Raia wa Burundi wakiwa nyuma ya… ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZT7IfaFhxUw/U_5heE2LZWI/AAAAAAAGFeY/WNmcVeH0oXA/s72-c/ng7.jpg)
RAIS KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA UZINDUZI WA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZT7IfaFhxUw/U_5heE2LZWI/AAAAAAAGFeY/WNmcVeH0oXA/s1600/ng7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6AaarQ9ah0I/U_5he4CuarI/AAAAAAAGFeg/RK0ztkFFeeU/s1600/ng9.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XbHnMGMJulw/Vfm0oVC8jAI/AAAAAAAH5ac/xAiNC6cX-fA/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
MKUTANO WA UIMARISHAJI NA UHAKIKI WA MIPAKA KATI YA TANZANIA NA KENYA
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inafanya mkutano wa siku tano kati ya Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Kenya ili kuimarisha na kuhakiki mipaka kati ya nchi hizo. Kikao hicho cha wajumbe maalumu kutoka nchi hizo mbili kinafanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es salaam kuanzia tarehe 14 hadi 18 septemba 2015.
Mkurugenzi Idara ya upimaji na Ramani Bw. Justo Lyamuya, Mkurugenzi wa Nyumba Bw. Charles Mafuru kutoka Wizara ya Ardhi,...
![](http://1.bp.blogspot.com/-XbHnMGMJulw/Vfm0oVC8jAI/AAAAAAAH5ac/xAiNC6cX-fA/s1600/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
GPLSERIKALI YATOA TAARIFA YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA NCHINI
Mkurugenzi Msaidizi Topografia na Jiodesia (katikati)Dk. James Mtamakaya akitoa taarifa mbele ya wanahabari (hawapo pichani), Mkurugenzi Msaidizi Upimaji Vijijini, Huruma Lugala (kulia) pamoja na Mpima Ardhi wa Wizara, Geofrey Kameta. …Mkurugenzi Msaidizi wa Upimaiji Mipaka, Huruma Lugala akionesha mchoro wa ramani ya Tanzania na mipaka ya nchi kwa wanahabari (hawapo… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5OYavTzFiHaEWGctT8a4S8ZZ36dRUXIKCjM3X4kHEYbs4AI1WBY1zpf9wjb*7IQC4eAbJluYUHO6ld5VQPQ8n3O/mbowe.jpg?width=650)
MBOWE AZINDUA PROGRAMU YA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA CHADEMA JIJINI DAR
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akiwasili katika Ukumbi wa PTA, Temeke jijini Dar kuzindua programu ya mafunzo kwa viongozi wa Chadema. Washiriki wa mafunzo ya timu za kampeni za uchaguzi mkuu kwa viongozi wa chama na serikali za mitaa wanaotokana na Chadema wakiwa tayari kuanza programu hiyo. Viongozi wa Chadema…
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-skE2dv8Rwgc/Vfip-OKz29I/AAAAAAAH5J0/v-49MLsFWiA/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI DARAJA LA KIKWETE JUU YA MTO MALAGARASI MKOANI KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-skE2dv8Rwgc/Vfip-OKz29I/AAAAAAAH5J0/v-49MLsFWiA/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TDdxDK1nDJg/Vfip-AY5GbI/AAAAAAAH5J4/IME8RQpqB50/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HFw6g62gi08/VLlVTVEHGNI/AAAAAAAG94k/4wN6FPME5T8/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA WAJUMBE WA JOPO LA KUTATHMINI PROGRAMU YA TEKELEZA KWA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Ijumaa, Januari 16, 2015, amekutana na kufanya mazungumzo na wajumbe wa Kamati Maalum Inayojitegemea Iliyofanya Tathmini ya Utekelezaji wa Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN). Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu, Dar es SalaamRais Kikwete amewashukuru wajumbe wa Kamati Maalum Inayojitegemea iliyofanya tathmini ya utekelezaji wa Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN). Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania