Rais Kikwete usituachie kiporo cha mikanganyiko hii mibaya
Sikutaka hata kidogo kudiriki kuwarejesha Watanzania katika machungu mengi ambayo huenda tayari yalianza kutoweka katika mioyo yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s72-c/JK_KINANA2.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA DODOMA, KUTEGUA KITENDAWILI CHA NANI MTEULE WA CCM KUWANIA URAIS WA TANZANIA WIKI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s640/JK_KINANA2.jpg)
Mwenyekiti huyo wa CCM amewasili na kuanza kazi mara moja ya kuongoza kikao cha kamati ya maadili ili kupokea taarifa za watia nia wa CCM, kabla ya kuanza kuwajadili na kupunguza majina kutoka 39 hadi matano, kazi itakayofanywa na Kamati Kuu ya chama hicho inayotarajiwa kukutana Alhamisi Julai...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aR_btM6ynds/XuXywl5T8_I/AAAAAAABMXI/4KCJQIP4YhwzX0bonbrbXSYGEmOFalYOwCLcBGAsYHQ/s72-c/EadnFvpXkAAa2Gm.jpeg)
RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI, NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aR_btM6ynds/XuXywl5T8_I/AAAAAAABMXI/4KCJQIP4YhwzX0bonbrbXSYGEmOFalYOwCLcBGAsYHQ/s400/EadnFvpXkAAa2Gm.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YN9dOei-atc/XuXywi-rqjI/AAAAAAABMXA/rIwB8d19V-A0iZay7SEKWHvtSOaAcy5BACLcBGAsYHQ/s400/EadnFviXQAAMI0g.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fuSZEj6KE40/XuXywtUVV6I/AAAAAAABMXE/cNN-D3X69SQOG7CHIboW1doEHShG3VxRACLcBGAsYHQ/s400/JK.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s72-c/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, AHAMISHA SITA, WATATU WA ZAMANI AWAWEKA KIPORO, PIA ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE WAPYA WA WIZARA NA KUHAMISHA MMOJA.
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2156398/lowRes/670006/-/oe4wxmz/-/kikwete.jpg)
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s1600/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
PRESIDENT’S OFFICE,STATE HOUSE,1 BARACK OBAMA ROAD,11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Rais Kikwete: Kazi hii ya urais ni ngumu
10 years ago
Vijimambo21 Jan
Ikulu yaeleza hatma kiporo cha Muhongo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Salva-21Jan2015.jpg)
Wakati makundi mbalimbali katika jamii yakishinikiza Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, awajibishwe, kutokana na kuhusishwa na kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kifisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Ikulu imesema Rais Jakaya Kikwete atatoa maamuzi kuhusu waziri huyo hivi karibuni.
Maamuzi ya Rais...
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8rejwR8k0po/VhqEdWpI9gI/AAAAAAABiYQ/N9i1M5evYIc/s72-c/d33.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-8rejwR8k0po/VhqEdWpI9gI/AAAAAAABiYQ/N9i1M5evYIc/s640/d33.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4snKqieOKWw/VhqEg43dpbI/AAAAAAABiYg/MhXTRSV9FjY/s640/d37.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yle9ZS2bWK0/VhqEhcUADFI/AAAAAAABiYk/ICvvfEssU2A/s640/d38.jpg)
10 years ago
MichuziRais Kikwete afungua Kituo Cha Taifa Cha Kumbukumbu Dodoma