Rais Magufuli amfuta kazi mtumishi wa serikali aliyechana kitabu kitakatifu cha Kurani
Mtumishi huyo alionekana kwenye mitandao ya kijamii akichana Kurani takatifu juma lililopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Rais Museveni amfuta kazi Waziri mkuu
10 years ago
Vijimambo10 Dec
Rais Mugabe amfuta kazi makamu wake
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/09/141209103755_joyce_mujuru_624x351__nocredit.jpg)
Taarifa kutoka nchini Zimbabwe zinasema kuwa Rais Robert Mugabe amemfuta kazi makamu wake Joice Mujuru, kufuatia ushindani wa uongozi katika chama tawala cha ZANU-PF.
Awali Bi Joyce Mujuru, alikanusha madai kuwa yeye ni mfisadi na alihusika na njama ya kutaka kumuua rais Robert Mugabe.
Bi Mujuru alilaaniwa na Rais Mugabe wiki iliyopita na kuondolewa kutoka wadhifa wake wa makamu wa rais wa chama tawala cha ZANU-PF wakati wa kongamano la chama hicho mjini Harare.
Amesema ameendelea kupokea...
9 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI WA UFARANSA NA AWASILI DODOMA KWA GARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Malika Berak kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi wa...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Rais Magufuli asaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa na awasili mjini Dodoma kwa gari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Malika Berak kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VN4bRelXZdQ/Vkt40IYVMeI/AAAAAAAIGdk/H9-D20HX7DQ/s72-c/86244950-352e-4f23-a545-f420ec704c79.jpg)
Rais Magufuli asaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa, awasili Mjini Dodoma kwa Gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-VN4bRelXZdQ/Vkt40IYVMeI/AAAAAAAIGdk/H9-D20HX7DQ/s640/86244950-352e-4f23-a545-f420ec704c79.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OA9I9jw6NPQ/Vkt42lgYcAI/AAAAAAAIGds/H2iav6_ELPk/s640/17c3e5df-f79c-4425-893f-0de5bc61a6e4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cFRjvHD2XT4/Vkt44lOblWI/AAAAAAAIGd0/Q_WF1I8fhs0/s640/65529ec3-b4fc-43e9-8267-8c00ab215361.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZwiJttOY8Cw/VJJ9HOiFCDI/AAAAAAAG4Co/x8Lpe0OwGyE/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
WIZARA YA KAZI ZANZIBAR KWA KUSHIRIKIANA NA (ILO) YAZINDUA KITABU CHA SHERIA ZA KAZI KATIKA LUGHA NYEPESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZwiJttOY8Cw/VJJ9HOiFCDI/AAAAAAAG4Co/x8Lpe0OwGyE/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VkRn0ALDvrg/VJJ9HIKGluI/AAAAAAAG4Cw/Sog9_ncjZLw/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aR_btM6ynds/XuXywl5T8_I/AAAAAAABMXI/4KCJQIP4YhwzX0bonbrbXSYGEmOFalYOwCLcBGAsYHQ/s72-c/EadnFvpXkAAa2Gm.jpeg)
RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI, NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aR_btM6ynds/XuXywl5T8_I/AAAAAAABMXI/4KCJQIP4YhwzX0bonbrbXSYGEmOFalYOwCLcBGAsYHQ/s400/EadnFvpXkAAa2Gm.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YN9dOei-atc/XuXywi-rqjI/AAAAAAABMXA/rIwB8d19V-A0iZay7SEKWHvtSOaAcy5BACLcBGAsYHQ/s400/EadnFviXQAAMI0g.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fuSZEj6KE40/XuXywtUVV6I/AAAAAAABMXE/cNN-D3X69SQOG7CHIboW1doEHShG3VxRACLcBGAsYHQ/s400/JK.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s72-c/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s640/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...