Rais Nkurunziza ‘apinduliwa’ akiwa Dar
Dar es Salaam. Hamkani si shwari tena Burundi baada ya kuwapo kwa jaribio kubwa la kuipindua Serikali ya Rais Pierre Nkurunziza muda mfupi baada ya kuwasili Dar es Salaam jana katika kikao cha kutafuta suluhu ya mgogoro wa nchi hiyo kuhusu dhamira yake ya kuwania urais kwa kipindi cha tatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amepatwa na mshtuko wa moyo akiwa na miaka 55
10 years ago
GPLRAIS NKURUNZINZA APINDULIWA
10 years ago
BBCSwahili13 May
Burundi:Rais Nkurunzinza ''apinduliwa''
10 years ago
Vijimambo13 May
BURUNDI AMANI NI TETE RAIS NKURUNZINZA "APINDULIWA''
20:29 Kundi hilo limekanusha tangazo la Meja jenerali Godefroid Niyombare kuwa ameipindua serikali ya Nkurunzinza
20:28 Kundi la wanajeshi wanomuunga mkono Nkurunzinza wangali wanadhibiti Ikulu na kituo cha redio ya taifa''AFP''.
Ramani ya kanda ya Afrika Mashariki
20:42 Hakuna uhakika iwapo ndege ya rais Nkurunzinza itaruhusiwa kutuaWanajeshi wakitangamana na raia...
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZZ......: Rais Nkurunzinza wa Burundi ''apinduliwa''
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.
Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon'golewa madarakani.
Meja Generali Niyombareh amesema wamechukua hatua hiyo baada...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw
MOJA ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua, kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...