Rais wa Namibia asifu demokrasia nchini
RAIS wa Namibia, Dk Hage Geingob ameipongeza serikali kwa kubadilishana uongozi kwa amani na utulivu. Amesema hatua hiyo inaonesha ukomavu wa hali ya juu wa demokrasia. Aidha, Geingob amesema ana imani kuwa Tanzania itafanya uchaguzi wake kwa amani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV12 Oct
Rais wa Namibia Dk. Hage Geingob awasili nchini
Rais wa Namibia Dokta Hage Geingob amewasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ambapo pamoja na mambo mengine atafanya mazungumzo ya siri na Rais Jakaya Kikwete.
Mapema Jumatatu anatarajiwa kuzungumza na mabalozi mbalimbali waliopo hapa nchini.
Miongoni mwa mambo ambayo Dokta Geingob anasifiwa kwayo ni kuwa kiongozi anayependa mambo yafanyike kwa haraka akitajwa kuwa mwanzilishi wa Sera ya Maridhiano nchini humo kwenye uchaguzi mkuu wa kwanza wa kidemokrasia wa nchi hiyo...
9 years ago
MichuziRAIS WA NAMIBIA AANZA ZIARA YA SIKU MBILI NCHINI TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s72-c/n2.jpg)
RAIS WA NAMIBIA AMALIZA ZIARA YAKE YA KIKAZI YA SIKU MBILI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s640/n2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2d3OqdPED_E/VhwN0xUTs4I/AAAAAAAH_is/Hc35k5Ch6lY/s640/n8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pWqboHaOe4U/VQ2pWUESTiI/AAAAAAAHL_8/Qw6kMqk7gpU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Rais Kikwete ampongeza Rais Mpya wa Namibia Dkt.Hague Geingob
![](http://2.bp.blogspot.com/-pWqboHaOe4U/VQ2pWUESTiI/AAAAAAAHL_8/Qw6kMqk7gpU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tvA5P1HEqOo/VQ2pWczQhKI/AAAAAAAHL_4/MtmX5YVGqVQ/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7DLKujc0Vsw/U10lDcQPYnI/AAAAAAAAios/6tbkQ56PWKA/s72-c/s+(1).jpg)
RAIS KIKWETE AONANA NA RAIS MSTAAFU WA NAMIBIA MHE. SAM NUJOMA,IKULU JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-7DLKujc0Vsw/U10lDcQPYnI/AAAAAAAAios/6tbkQ56PWKA/s1600/s+(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b5fM11El7Qc/U10lCW4WjTI/AAAAAAAAiok/UFDuWNbptXo/s1600/s+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sRLNqleh0o0/U10lEFVnTlI/AAAAAAAAiow/QkgjxtJo6Y0/s1600/s+(3).jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Aug
Rais Obama asifu majeshi ya Iraq na kurd
10 years ago
Habarileo16 Sep
Dk.Slaa- Demokrasia nchini imekua
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbrod Slaa amesifu demokrasia iliyoko nchini akisema imekua, ingawa alitaka baadhi ya maeneo kutiliwa mkazo.