Rais wa Namibia Dk. Hage Geingob awasili nchini
Rais wa Namibia Dokta Hage Geingob amewasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ambapo pamoja na mambo mengine atafanya mazungumzo ya siri na Rais Jakaya Kikwete.
Mapema Jumatatu anatarajiwa kuzungumza na mabalozi mbalimbali waliopo hapa nchini.
Miongoni mwa mambo ambayo Dokta Geingob anasifiwa kwayo ni kuwa kiongozi anayependa mambo yafanyike kwa haraka akitajwa kuwa mwanzilishi wa Sera ya Maridhiano nchini humo kwenye uchaguzi mkuu wa kwanza wa kidemokrasia wa nchi hiyo...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pWqboHaOe4U/VQ2pWUESTiI/AAAAAAAHL_8/Qw6kMqk7gpU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Rais Kikwete ampongeza Rais Mpya wa Namibia Dkt.Hague Geingob
![](http://2.bp.blogspot.com/-pWqboHaOe4U/VQ2pWUESTiI/AAAAAAAHL_8/Qw6kMqk7gpU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tvA5P1HEqOo/VQ2pWczQhKI/AAAAAAAHL_4/MtmX5YVGqVQ/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
9 years ago
Habarileo13 Oct
Rais wa Namibia asifu demokrasia nchini
RAIS wa Namibia, Dk Hage Geingob ameipongeza serikali kwa kubadilishana uongozi kwa amani na utulivu. Amesema hatua hiyo inaonesha ukomavu wa hali ya juu wa demokrasia. Aidha, Geingob amesema ana imani kuwa Tanzania itafanya uchaguzi wake kwa amani.
9 years ago
MichuziRAIS WA NAMIBIA AANZA ZIARA YA SIKU MBILI NCHINI TANZANIA
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Rais Kikwete awasili nchini Msumbiji kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais Nyusi
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s72-c/n2.jpg)
RAIS WA NAMIBIA AMALIZA ZIARA YAKE YA KIKAZI YA SIKU MBILI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s640/n2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2d3OqdPED_E/VhwN0xUTs4I/AAAAAAAH_is/Hc35k5Ch6lY/s640/n8.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-W5FDYD6Z7VM/VbKEAwrTK5I/AAAAAAABSm8/srTeCABTo1c/s72-c/Obama-flight-610x374.jpg)
RAIS OBAMA AWASILI NCHINI KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W5FDYD6Z7VM/VbKEAwrTK5I/AAAAAAABSm8/srTeCABTo1c/s640/Obama-flight-610x374.jpg)
Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta muda mfupi baada ya saa mbili za usiku. Alipowasili Rais Obama amelakiwa na mweyeji wake Rais Uhuru Kenyatta.
![](http://2.bp.blogspot.com/-k-zeETXiuk8/VbKEAw-XWfI/AAAAAAABSnI/wtn4tVZwT18/s640/PC_150724_ko5sb_obama-kenya-arrivee_sn635.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kHZNBDqH1ZiGtAQeE**XCYl9g2cFBAPWedCAnkQ*J2u9qIpsdUArauvg8g2lJROca3PTKO9*gVI-ssqRc4x9YjZkYWbYDhtD/Rais1.jpg?width=750)
RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AWASILI NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ixn9USaVA2g/Uv5vFmr-WII/AAAAAAACauQ/wCj4dluv22g/s72-c/D92A8627.jpg)
Rais Kikwete awasili nchini akitokea London
![](http://3.bp.blogspot.com/-ixn9USaVA2g/Uv5vFmr-WII/AAAAAAACauQ/wCj4dluv22g/s1600/D92A8627.jpg)
10 years ago
Vijimambo03 Feb
Rais wa Ujerumani awasili nchini kuanza ziara ya kitaifa