RASIMU ILIYOPENDEKEZWA BUNGE MAALUMU LA KATIBA

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta. BONYEZA HAPA KUSOMA==> RASIMU ILIYOPENDEKEZWA BUNGE MAALUMU LA…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
11 years ago
Michuzi.jpg)
RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Vijimambo
RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE MAALUM 2014

Mambo yameiva, na hii hapa ndiyo Rasimu ya Tatu ya Katiba, ambayo inapendekezwa na Bunge Maalum. Vipengele vingi vimebadilishwa. Haya hapa ni mambo ya Muungano:Mambo ya Muungano
1. Katiba na Mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.2. Ulinzi na usalama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.3. Usalama na usafiri wa anga.4. Uraia na uhamiaji.5. Jeshi la Polisi.
6. Sarafu na Benki Kuu.7. Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na Mashirika,...
11 years ago
Vijimambo
CHENGE AKABIDHI RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI BUNGE MAALUM LEO


11 years ago
VijimamboWASANII WATINGA VIWANJA VYA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUSIKILIZA RASIMU ILIYOPENDEKEZWA.
11 years ago
Dewji Blog26 Sep
Mahakama kuu: Bunge Maalumu la Katiba lizingatie rasimu
Na Mwandishi wetu
Mahakama Kuu ya Tanzania iliyokaa chini ya Judges Augustine Mwarija, Aloysius Mujulizi na Dr Fauz Twaib imetoa uamuzi wake leo kufuatia maombi ya Saed Kubenea kama ifuatavyo;
1.Kuna mgongano mkubwa kati ya toleo la Kiswahili na Toleo la Kiingereza la kifungu cha 25 (2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.
2. Kwamba pamoja na mgongano huo, Sheria imekusudia kwamba Madaraka ya Bunge Maalum la Katiba yatatekelezwa kupitia Rasimu ya Tume ya maana yake kama ilivyowasilishwa...
11 years ago
Mwananchi26 Sep
KATIBA: Waiponda rasimu iliyopendekezwa
11 years ago
MichuziRASIMU YA KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA KUWASILISHWA BUNGENI SEPTEMBA 24 MWAKA HUU
RASIMU ya Katiba Mpya iliyopendekezwa inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu.
Mabadiliko hayo yametangazwa leo jioni na Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahya Khamis Hamad wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Aidha Katibu huyo amesema uamuzi wa mabadiliko hayo, umetokana na kufanyika kikao baina ya Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi.
Hata hivyo Katibu...