WASANII WATINGA VIWANJA VYA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUSIKILIZA RASIMU ILIYOPENDEKEZWA.
Msanii wa filamu nchini Tanzania maarufu kama Mzee Chilo akiwa katika picha ya pamoja na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Angellah Kairuki leo 24 Septemba, 2014 katika viwanja vya Bunge hilo mjini Dodoma.
Kiongozi wa msafara wa wasanii walifika katika Bunge Maalum la Katiba Bw. Simon Mwakifwamba akiwa katika picha ya pamoja na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Angellah Kairuki leo 24 Septemba, 2014 katika viwanja vya Bunge hilo mjini Dodoma.
Baadhi ya wasanii wakimsikiliza kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SzB6WM4NKKY/VCLMzlcemmI/AAAAAAAAGAU/7GXq8PYGNoo/s72-c/Samuel-Sitta.jpg)
RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE MAALUM 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-SzB6WM4NKKY/VCLMzlcemmI/AAAAAAAAGAU/7GXq8PYGNoo/s640/Samuel-Sitta.jpg)
Mambo yameiva, na hii hapa ndiyo Rasimu ya Tatu ya Katiba, ambayo inapendekezwa na Bunge Maalum. Vipengele vingi vimebadilishwa. Haya hapa ni mambo ya Muungano:Mambo ya Muungano
1. Katiba na Mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.2. Ulinzi na usalama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.3. Usalama na usafiri wa anga.4. Uraia na uhamiaji.5. Jeshi la Polisi.
6. Sarafu na Benki Kuu.7. Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na Mashirika,...
10 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s72-c/unnamed%2B(81).jpg)
RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4Ej0EIz0XRY/VCLSdKW1XpI/AAAAAAAGliE/3-IJgmE3Rw4/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hN6H87Qy01E/VCLSdWhKM_I/AAAAAAAGliA/Fam5CuSp1zw/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R9tQ636gFL0/VCLSeIVZgJI/AAAAAAAGliI/CV8v0SJbaWM/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NJo-Az6QDhc/VCGBnORk5YI/AAAAAAAGlW8/wCSwPdeL_z8/s72-c/unnamed%2B%2872%29.jpg)
CHENGE AKABIDHI RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI BUNGE MAALUM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NJo-Az6QDhc/VCGBnORk5YI/AAAAAAAGlW8/wCSwPdeL_z8/s640/unnamed%2B%2872%29.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SWzZKcxijxM/VCGBtll8EGI/AAAAAAAGlXE/LzQ5cEXOMMo/s640/unnamed%2B%2873%29.jpg)
11 years ago
Michuzi20 Feb
taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyUmlW2B5UM/UwYVaXuz21I/AAAAAAACprg/y0XD14-INGE/s1600/mtanda.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-15UcnFNNLik/UwYVcoRJp-I/AAAAAAACprw/eOOpdzCRJHA/s1600/WMK.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-FJdD5nbXlWw/UwYVS8qkz6I/AAAAAAACprY/5a9HX2w8teI/s1600/2B.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVFgCjLvbAjZno8yvxv65Yeey38XyGNGnLST-pBbmxhw6ODwViUr8xcHDea7Ea7wrSFonBTy-bGl9gpaQFS3Zx6/64.jpg)
RASIMU ILIYOPENDEKEZWA BUNGE MAALUMU LA KATIBA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s72-c/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
Bunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s1600/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZRThfVVNSbCOmFiN*wfTCycf-cQ83j9rHOumWBCsBO-ETXw4K23r5SrvJRhUHdmqehVqM0-0bMb4HwLPN-Cle8/unnamed72.jpg?width=650)
MH. CHENGE AWASILISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA