Rasimu ya Katiba bungeni leo
TUNAWEZA kusema ni wiki muhimu kwa wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutengewa siku tatu za kujadili rasimu ya Katiba itakayowasilishwa leo na Jaji Joseph Warioba. Shughuli za wiki hii, licha ya mjadala huo, pia wajumbe hao watapigwa msasa na wataalamu wa mambo ya Katiba kutoka nje ya nchi kesho, kabla ya bunge hilo kuhutubiwa na Rais Jakaya Kikwete kesho kutwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRASIMU YA KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA KUWASILISHWA BUNGENI SEPTEMBA 24 MWAKA HUU
RASIMU ya Katiba Mpya iliyopendekezwa inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu.
Mabadiliko hayo yametangazwa leo jioni na Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahya Khamis Hamad wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Aidha Katibu huyo amesema uamuzi wa mabadiliko hayo, umetokana na kufanyika kikao baina ya Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi.
Hata hivyo Katibu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s72-c/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
Bunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s1600/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s72-c/unnamed%2B(81).jpg)
RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4Ej0EIz0XRY/VCLSdKW1XpI/AAAAAAAGliE/3-IJgmE3Rw4/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hN6H87Qy01E/VCLSdWhKM_I/AAAAAAAGliA/Fam5CuSp1zw/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R9tQ636gFL0/VCLSeIVZgJI/AAAAAAAGliI/CV8v0SJbaWM/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZStiGirHLFY/Uxtk8WA-jMI/AAAAAAAFSII/KAgME3nzR-o/s72-c/unnamed+(33).jpg)
busara, amani na nguzu za hoja zatawala semina ya kujadili rasimu ya kanuni bungeni dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZStiGirHLFY/Uxtk8WA-jMI/AAAAAAAFSII/KAgME3nzR-o/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-E_Qbn6GTxh4/Uxtk8oYReAI/AAAAAAAFSIM/ZRIQPKwifwQ/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lXaYh6viiOA/Uxtk85yBaII/AAAAAAAFSIQ/2h6f6gV3BtE/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TDfuTLwA0P0/Uxtk9pzITfI/AAAAAAAFSIc/g1WXkh7WBQ4/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yY2Qv9lpJLQ/Uxtk-PKIaoI/AAAAAAAFSIo/32Aw0c-RsH8/s1600/unnamed+(37).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NJo-Az6QDhc/VCGBnORk5YI/AAAAAAAGlW8/wCSwPdeL_z8/s72-c/unnamed%2B%2872%29.jpg)
CHENGE AKABIDHI RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI BUNGE MAALUM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NJo-Az6QDhc/VCGBnORk5YI/AAAAAAAGlW8/wCSwPdeL_z8/s640/unnamed%2B%2872%29.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SWzZKcxijxM/VCGBtll8EGI/AAAAAAAGlXE/LzQ5cEXOMMo/s640/unnamed%2B%2873%29.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-m6vmbx_0CME/VCJfjWDOKiI/AAAAAAAABsw/XGMBWSDVnaA/s72-c/Chenge.jpg)
Chenge kuwasilisha Katiba Pendekezi Bungeni leo
Na mwandishi wetu, Dodoma
Andrew ChengeWAKATI wajumbe wa kundi la Katiba ya Wananchi (UKAWA), wakiendelea kususa, Bunge Maalumu la Katiba leo linaingia kwenye hatua muhimu pale Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, Andrew Chenge, atakapowasilisha Katiba Pendekezi.
Chenge, ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Magharibi, anatarajiwa kuwasilisha Katiba Pendekezi kwa Mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta, baada ya kukamilisha kazi hiyo.
Mara baada ya kuwasilishwa, wajumbe wa Kamati...
![](http://2.bp.blogspot.com/-m6vmbx_0CME/VCJfjWDOKiI/AAAAAAAABsw/XGMBWSDVnaA/s1600/Chenge.jpg)
Chenge, ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Magharibi, anatarajiwa kuwasilisha Katiba Pendekezi kwa Mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta, baada ya kukamilisha kazi hiyo.
Mara baada ya kuwasilishwa, wajumbe wa Kamati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania