Rasimu ya Katiba inavyowagawa viongozi SMZ
Tangu kutoka bungeni kwa Kundi la Wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananachi (Ukawa) kwenye Bunge la Katiba kwa madai ya kuchoshwa kwao na matusi, kejeli na ubaguzi, kumeibuka mijadala mikali, huku mawaziri na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa chama tawala CCM, wakivunja ukimya na kuamua kupambana na umoja huo kwa hoja kwenye hadhara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziJAJI MKUU MSTAAFU RAYMOND MWAIKASU APENDEKEZA VIONGOZI WA JESHI LA MAGEREZA WAINGIZWE KWENYE RASIMU YA KATIBA
Akizungumza katika warsha iliyofanyika mjini Iringa yenye lengo la kuwajengea uelewa wa katiba pamoja na mchakato wa marekebisho ya katiba kwa wananchi waishio wilaya ya Iringa vijijini, ...
10 years ago
Habarileo26 Sep
SMZ yaikubali Rasimu mpya
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeelezea kuridhika na sehemu kubwa ya Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa, kutokana na kuweka sawa mambo yenye maslahi kwa Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi alisema hayo jana alipokuwa akizungumzia hatua ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar, Othman Masoud Othman, kujitoa katika Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Viongozi SMZ, wanasheria wagawanyika
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s72-c/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
Bunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s1600/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZRThfVVNSbCOmFiN*wfTCycf-cQ83j9rHOumWBCsBO-ETXw4K23r5SrvJRhUHdmqehVqM0-0bMb4HwLPN-Cle8/unnamed72.jpg?width=650)
MH. CHENGE AWASILISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Michuzi25 Feb
HARAKATI ZA BUNGE LA KATIBA: WANAWAKE NA RASIMU YA KATIBA MPYA
Tazama video hapa...