Viongozi SMZ, wanasheria wagawanyika
>VIongozi wa kisiasa na wanasheria wamegawanyika visiwani Zanzibar kufuatia uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ), Othman Masoud Othman kuamua kujiuzulu katika kamati ya kuandika Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Mar
Wanasheria: Viongozi wenye kauli za kuudhi wawajibishwe
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema ipo haja ya sheria ya maadili ya viongozi wa umma kutekelezwa kama ilivyoainishwa na sekretarieti na endapo wapo viongozi wanaotoa kauli zenye kuudhi wawajibishwe.
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Rasimu ya Katiba inavyowagawa viongozi SMZ
11 years ago
Habarileo22 May
SMZ:Hotuba za viongozi zinahifadhiwa vyema
WAZIRI wa Habari Utangazaji Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk amesema hotuba za viongozi na waasisi wakuu wa nchi akiwemo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Rais wa Kwanza wa Zanzibar hayati Abeid Amaan Karume zinarushwa hewani mara kwa mara kwa ajili ya wananchi kupata wosia wa viongozi hao.
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Wafanyabiashara wagawanyika
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Escrow Njiapanda, wabunge wagawanyika
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Wasomi wagawanyika kuhusu Serikali Tatu
10 years ago
VijimamboWanasheria naombeni msaada
9 years ago
Habarileo02 Nov
Wanasheria 200 kukutana
ZAIDI ya wajumbe 200 wa kada ya sheria kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanatarajia kuhudhuria mkutano wa siku tatu wa majadiliano kuhusu masuala ya sheria barani Afrika unaoanza keshokutwa mjini hapa.
11 years ago
Habarileo04 Feb
Wanasheria kuboreshewa maslahi
SERIKALI inaangalia uwezekano wa kuboresha maslahi kwa wanasheria wa Serikali, ili ofisi ya Mwanasheria Mkuu na Mwendesha Mashitaka zitekeleze majukumu yao ipasavyo. Rais Jakaya Kikwete alisema hayo jana, wakati wa Siku ya Sheria nchini, ambayo huadhimishwa kuashiria kuanza kwa shughuli za mahakama kila mwaka.