Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ:Hotuba za viongozi zinahifadhiwa vyema

WAZIRI wa Habari Utangazaji Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk amesema hotuba za viongozi na waasisi wakuu wa nchi akiwemo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Rais wa Kwanza wa Zanzibar hayati Abeid Amaan Karume zinarushwa hewani mara kwa mara kwa ajili ya wananchi kupata wosia wa viongozi hao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Viongozi SMZ, wanasheria wagawanyika

>VIongozi  wa kisiasa na wanasheria wamegawanyika visiwani Zanzibar kufuatia uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ), Othman Masoud Othman kuamua kujiuzulu katika kamati ya kuandika Katiba Mpya  ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Rasimu ya Katiba inavyowagawa viongozi SMZ

Tangu kutoka bungeni kwa Kundi la Wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananachi (Ukawa) kwenye Bunge la Katiba kwa madai ya kuchoshwa kwao na matusi, kejeli na ubaguzi, kumeibuka mijadala mikali, huku mawaziri na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa chama tawala CCM, wakivunja ukimya na kuamua kupambana na umoja huo kwa hoja kwenye hadhara.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi, viongozi wa dini wasifu hotuba ya JK

WASOMI na viongozi wa dini wamesifu hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa kwa wananchi, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano na kusema itasaidia wanaopinga Muungano kujirudi na kuona mafanikio yake.

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA PONGEZI KWA MH.RAISI WA TANZANIA, RAISI WA ZANZIBAR NA VIONGOZI WOTE WALIOFANIKISHA KUPATIKANA KWA KATIBA INAYOPENDEKEZWA.


Ndugu viongozi wote wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi diaspora, wawakilishi wa serikali ya Tanzania ndani na nje ya nchi, taasisi za kitaifa na kimataifa, mashirika ya kijamii, mashirika binafsi, viongozi mbalimbali; itifaki imezingatiwa.
Awali ya yote napenda kumshukuru M/Mungu kwa kutupa uzima na afya njema kuweza kutekeleza majukumu yetu ya kila siku ikiwemo kusimamia sera na utendaji wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi huku diaspora. Pia napenda...

 

5 years ago

CCM Blog

HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020







•           Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,•           Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,•           Mkurugenzi wa Uchaguzi,•           Msajili wa Vyama vya Siasa,•           Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,•           Viongozi wa Vyama vya Siasa,•           Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,•           Inspekta Jenerali wa Polisi,•           Kamishna Mkuu wa Uhamiaji•           Watendaji wa Tume,•           Waandishi wa Habari,•           Mabibi na Mabwana
Bwana...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazingira TZ yanatunzwa vyema?

Serikali ya TZ kupitia Halmashauri za Miji imekuwa ikifanya jitihada ili kuifanya miji ya nchi hiyo kuwa safi nyakati zote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani