SMZ:Hotuba za viongozi zinahifadhiwa vyema
WAZIRI wa Habari Utangazaji Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk amesema hotuba za viongozi na waasisi wakuu wa nchi akiwemo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Rais wa Kwanza wa Zanzibar hayati Abeid Amaan Karume zinarushwa hewani mara kwa mara kwa ajili ya wananchi kupata wosia wa viongozi hao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Viongozi SMZ, wanasheria wagawanyika
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Rasimu ya Katiba inavyowagawa viongozi SMZ
11 years ago
Habarileo28 Apr
Wasomi, viongozi wa dini wasifu hotuba ya JK
WASOMI na viongozi wa dini wamesifu hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa kwa wananchi, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano na kusema itasaidia wanaopinga Muungano kujirudi na kuona mafanikio yake.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/0lcLfTS8dl4/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/dmJaMXHxalk/default.jpg)
10 years ago
VijimamboHOTUBA YA PONGEZI KWA MH.RAISI WA TANZANIA, RAISI WA ZANZIBAR NA VIONGOZI WOTE WALIOFANIKISHA KUPATIKANA KWA KATIBA INAYOPENDEKEZWA.
Ndugu viongozi wote wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi diaspora, wawakilishi wa serikali ya Tanzania ndani na nje ya nchi, taasisi za kitaifa na kimataifa, mashirika ya kijamii, mashirika binafsi, viongozi mbalimbali; itifaki imezingatiwa.
Awali ya yote napenda kumshukuru M/Mungu kwa kutupa uzima na afya njema kuweza kutekeleza majukumu yetu ya kila siku ikiwemo kusimamia sera na utendaji wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi huku diaspora. Pia napenda...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4VsWZIs0BQg/default.jpg)
5 years ago
CCM BlogHOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,• Inspekta Jenerali wa Polisi,• Kamishna Mkuu wa Uhamiaji• Watendaji wa Tume,• Waandishi wa Habari,• Mabibi na Mabwana
Bwana...
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Mazingira TZ yanatunzwa vyema?