Mazingira TZ yanatunzwa vyema?
Serikali ya TZ kupitia Halmashauri za Miji imekuwa ikifanya jitihada ili kuifanya miji ya nchi hiyo kuwa safi nyakati zote.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s72-c/mazingira+-7.jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s1600/mazingira+-7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ldUbXye-oxQ/U5DX_2YuZhI/AAAAAAAFn7s/N7ic53UXQ10/s1600/Mazingira+-+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YUGzmP-Rs7o/U5DYF_vOQvI/AAAAAAAFn70/kg1SCRf0e68/s1600/Mazingira+-+3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/ouOQcQcfbx8/default.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Na Avila kakingo,Globu ya Jamii.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI WA MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU (LEACHING AND ELUTION PLANTS) KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT) NA UKAGUZI WA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL AUDIT)
Dar es Salaam, May 5, 2020.
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linawatangazia wawekezaji wote wanaojihusisha na shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu (“vat leaching na elusion plants”) kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka...
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Pinda: Kutajwa urais ni vyema
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kuwa siyo jambo baya kwake kutajwa kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao 2015 na kwamba kujitokeza pia ni jambo jema.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tanzania yaanza vyema tenisi
Tanzania jana ilianza vizuri mashindano ya vijana ya Afrika Mashariki na Kati baada ya wachezaji wake Mernad Frank na , Emmanuel Mallay kushinda katika michezo yao ya jana kwenye Viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Mohammed Ali anaendelea vyema .
MSEMAJI wa nguli wa zamani wa masumbwi Muhammad Ali amedai kuwa hali ya bondia huyo inaendelea vyema.
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Je unamfahamu vyema Wayne Rooney?
Uingereza itamenyana na Uruguay usiku wa Leo. Matumini yako kwa Rooney , je ataweza?
10 years ago
Habarileo13 Jun
Uandikishaji waanza vyema Ukerewe
UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapirakura katika wilaya ya Ukerewe, Mwanza umenza vyema juzi na tayari umeanza kuzidi lengo la siku.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania