Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasheria 200 kukutana

ZAIDI ya wajumbe 200 wa kada ya sheria kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanatarajia kuhudhuria mkutano wa siku tatu wa majadiliano kuhusu masuala ya sheria barani Afrika unaoanza keshokutwa mjini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Walimu 1,200 kukutana na JK

Rais Jakaya Kikwete.ZAIDI ya walimu 1,200 wanatarajiwa kukutana na Rais Jakaya Kikwete mjini Arusha, wiki ijayo wakati kiongozi huyo wa nchi atakapokuwa akifungua rasmi mkutano wao mkuu wa mwaka kitaifa.

 

9 years ago

Vijimambo

DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...

 

11 years ago

Habarileo

Wanasheria kuboreshewa maslahi

SERIKALI inaangalia uwezekano wa kuboresha maslahi kwa wanasheria wa Serikali, ili ofisi ya Mwanasheria Mkuu na Mwendesha Mashitaka zitekeleze majukumu yao ipasavyo. Rais Jakaya Kikwete alisema hayo jana, wakati wa Siku ya Sheria nchini, ambayo huadhimishwa kuashiria kuanza kwa shughuli za mahakama kila mwaka.

 

10 years ago

Vijimambo

Wanasheria naombeni msaada

Nafikiri wote tumesikia na kusoma kwenye mitandao mbali mbali kuhusu ndoa ya Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dr. Reginald  Mengi na former Bongo Flava Artist Jacqueline Ntuyabaliwe (K-Lynn). Ndoa hiyo amabayo inasemekana kufungwa katika visiwa vya Mauritius na watu wachache sana wameweza kuhudhuria tukio hilo; katika hao watu wachache inasemekana hakuna mtoto wake hata mmoja (kutoka kwa ndoa yake na mke mkubwa) ambaye alikuwa hapo kushuhudia tukio hilo. Pia vile vile hakuna ndugu wala...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanasheria wataka Jecha achunguzwe

Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) kimetaka iundwe tume huru ya kuchunguza jinsi mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Salim Jecha Salum alivyofikia uamuzi wa kufuta matokeo na akithibitika kuwa alishinikizwa, afukuzwe kazi.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanasheria EAC jijengeeni uwezo’

vWanasheria wa Serikali katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wameshauriwa kujiongezea uwezo kabla ya kusaini mikataba ya uchimbaji wa madini kwa manufaa ya wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanasheria wasisitiza kura ya siri

Wanasheria mbalimbali nchini wamesisitiza kutumika kwa kura ya siri kama ilivyopendekezwa kwenye kanuni za Bunge la Katiba ili kuwapatia uhuru zaidi wajumbe hao na kuepuka misimamo inayowabana kutoka ndani ya makundi yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yawahukumu wanasheria

Mahakama nchini Saudi Arabia imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitano mpaka nane kwa wanasheria wa tatu nchini humo

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi SMZ, wanasheria wagawanyika

>VIongozi  wa kisiasa na wanasheria wamegawanyika visiwani Zanzibar kufuatia uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ), Othman Masoud Othman kuamua kujiuzulu katika kamati ya kuandika Katiba Mpya  ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani