Rasimu ya Pili ya Katiba imewafikia watu wasioona?
KATIKA kuhakikisha elimu ya Katiba Mpya inawafikia wananchi wengi, serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria ilipaswa kuandaa Rasimu ya Pili kwa maandishi ya nukta nundu kwa ajili ya watu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Rasimu ya pili ya Katiba Mpya yakamilika
Hatimaye Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba imekamilisha kazi ya kuboresha rasimu ya kwanza na kupata rasimu ya pili ya Katiba Mpya tayari kwa hatua nyingine.
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Rasimu ya Pili ya Katiba hakuna cha kujadili
Juzi Rais Jakaya Kikwete alitoa maoni yake kuhusu muundo wa Muungano anaoutaka. Alifanya hivyo wakati alipokuwa akizindua Bunge Maalumu la Mabadiliko ya Katiba mjini Dodoma.
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Tume ya Katiba kukabidhi rasimu ya pili Desemba 30
Tume ya Mabadiliko ya Katiba itakabidhi rasimu ya pili ya Katiba kwa Rais Jakaya Kikwete pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, Desemba 30, mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Rasimu ya pili ya Katiba ilivyozima dua ya CCM
Baada ya kutoka Rasimu ya kwanza ya Katiba mnamo Juni 3, 2013, pamoja na mambo mengine, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama mojawapo ya Mabaraza ya Katiba kilikosoa muundo wa Jamhuri ya Muungano hasa kwa kuwa rasimu hiyo ilipendekeza uwepo wa Serikali tatu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox7NCzy023CVDLnmoDjA2lKP9JcDrkRipbO8HPFOybCo6AvX2rT-CcgO2F2mDH4kK8l-9ien0sd8Hp5X67arnNfy/19RASIMUYAKATIBAMPYA19.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE, DK SHEIN WAKABIDHIWA RASIMU YA PILI YA KATIBA MPYA
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete (kulia) Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya leo.…
11 years ago
GPL25 Jan
SLAA: ASILIMIA 72 YA MAONI TULIYOKUSANYA YAMO KWENYE RASIMU YA PILI YA KATIBA
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Wilbrod Slaa amesema asilimia 72 ya maoni yalikusanywa toka kwa wananchi na CHADEMA yamo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Slaa aliyasema hayo mjini Songea akiwa katika Operesheni M4C Pamoja Daima.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox7EJyFayh9ZzAfavrOqqOHe4t72q9MDqWKaDPxUoGXntJhOVaDis4B0dFtoZgU2J4pyL4afrCfepy3AXw7PyVN3/rasimu1.jpg?width=650)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania