Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Ole Sendeka arejesha ardhi ya wazee iliyotaka kupokwa na wajanja

Na Amiri kilagalila,Njombe

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka ametoa wiki mbili kwa watu wanne kurejesha ekari mbili za ardhi ya wazee wawili wanaokadiliwa kuwa na miaka zaidi ya 80 zilizouzwa kimakosa, ambayo walipewa zawadi na serikali ya mtaa wa Mji mwema kutokana na kuamsha ari ya taaluma.

Eneo hilo lenye ukubwa ekari 2 linadaiwa kuuzwa na mtu wa jirani wa wazee hao miaka minne iliyopita anaefahamika kwa jina George Angeli ,hatua ambayo imesababisha kuidai haki yao katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

IPPmedia

Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka


IPPmedia
Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka
IPPmedia
Simanjiro MP Christopher ole Sendeka has urged donors who fund different developmental projects in the district to disclose their sources of funding, in an effort to refrain from the use of 'dirty money'. The MP issued the directive at the weekend during the ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Dk.Nagu, Ole Sendeka lawamani

HALI ya hewa kisiasa imechafuka Babati, Manyara.

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Mwananchi

Ole Sendeka awashukia Muhongo, Maswi

Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema watu wote waliohusika katika kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow lazima wawajibishwe, huku akimtetea Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa kueleza kuwa hastahili kuwajibika kwa kuwa uwajibikaji wa sakata hilo siyo wa pamoja.

 

10 years ago

Vijimambo

OLE SENDEKA AKANUSHA KUHAMIA CHADEMA

Mahmoud Ahmad Arusha
Uvumi ulioenezwa na mitandao ya kijamii kuwa mh.Christopher Ole Sendeka anahamia chadema ameikanusha na kusema kuwa haina tija na niupotoshaji wa jamii na kuwa yeye atabakia kuwa muuumini wa chama cha Mapinduzi wala hajaona chama mbadala zaidi ya chama hicho.
Sendeka ameyasema hayo leo wakati akiongea na vyombo vya habari jijini hapa na kuwataka wanaoeneza kuacha mara moja kumuhusisha na kuhamia kwenye chama hicho kwani yeye ni muumini wa CCM.
Alisema kuwa hajaona chama...

 

11 years ago

Mwananchi

SMZ yapinga kauli ya Ole Sendeka

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imekataa pendekezo la Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka (CCM) aliyetaka Hati ya Muungano iendelee kuwa siri na kuweka bayana kuwa nyaraka hiyo iko wazi kwa mtu yoyote.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ole Sendeka akoleza moto fedha za Escrow

MBUNGE wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka (CCM), amezidi kukoleza moto wa sakata la uchotwaji fedha za akaunti ya Tegeta Escrow, dola milioni 250 za Marekani, akisema serikali inapaswa kuweka ukweli...

 

11 years ago

TheCitizen

Surprise as Ole Sendeka salutes bitter rival

Simanjiro MP Christopher ole Sendeka has praised his Singida East counterpart, Mr Tundu Lissu, for a job well done in the Constituent Assembly.

 

9 years ago

Mwananchi

Ole Sendeka: Sumaye ameonyesha udhaifu kwenda Ukawa

Mgombea ubunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ameonyesha udhaifu kisiasa kwa kuhamia upinzani kwa kuwa aliapiza Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa akipitishwa anahama chama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani