Real Madrid, Porto robo fainali UEFA
Pamoja na Real Madrid kufungwa hapo jana na Schalke 04 ya Ujerumani kwa magoli 4 - 3 katika mechi ya klabu barani ulaya timu hiyo imefanikiwa kuingia robo fainali ya michuano hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Ligi ya Mabingwa Ulaya: Real Madrid yanusa robo fainali
10 years ago
GPL5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Bayern Munich, PSG robo fainali UEFA
10 years ago
VijimamboNANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID
Baada ya mchezo watakumbatiana hivi!!! Kocha wa Real Madrd Carlo Ancelotti( kushoto ) akiwa na kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone.
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...
10 years ago
BBCSwahili06 May
Juventus yaichapa Real Madrid 2-1 UEFA
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Real Madrid , Schalke 04 uwanjani UEFA