Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RED CROSS Tanzania,kuvifikia vijiji 381 Njombe kupeleka elimu ya Corona

Na Amiri kilagalila,NjombeCHAMA cha Msalaba Mwekundu (RED CROSS TANZANIA) wamezindua mpango wa utoaji elimu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona mkoa wa Njombe,ili kukata mnyororo wa maambukizi ya virusi hivyo nchini Tanzania.
Akizungumza mara baada ya uzinduzi wa zoezi hilo,Rais wa Tanzania red cross Society David Kihenzile,amesema kwa kuwa serikali ilishaanza kufanya kazi ya uelimishaji lakini wao kama Chama wameona haja ya kuongeza nguvu kama wasaidizi wa serikali katika utoaji...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAOMBWA KUTAFUTA NJIA MBADALA KUVIFIKIA VIJIJI VISIVYOFIKIKA ILI KUVIPATIA ELIMU JUU YA COVID-19




Mchungaji David Chikawe Katibu wa Kanisa la Mission to Unreaches Area nchini (MUAC)   Na.Vero Ignatus,Kibaha Pwani
Serikali imeombwa kuhakikisha kwamba inatafutanjia mbadala ,kwaajili ya kuwafikia wananchi waliopo maeneo ambayo hayafikikikiurahisi, kwaajili ya kuwapatia elimu ya kuepukana maambukizi ya homa kali yamapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19

Hayo yamesemwa na Mchungaji David Chikawe Katibu wa Kanisa la Mission to Unreaches Area nchini (MUAC),lililopo Kibaha mkoa...

 

5 years ago

Michuzi

Shirika la World Vision Tanzania jijini Arusha latoe elimu ya kujikinga na Corona,Ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32

Na Jusline Marco-Longido

Shirika la World Vision Tanzania,Mkoani Arusha limetoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona iliyoenda  sambamba na ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32 Wilayani Longido.

Akizungumza na waandishi wa habari Wilayani humo mratibu wa Kitumbeine DP, Bi.Peruth Daudi alisema kuwa katika suala la uhamasihaji jamii juu ya COVID-19 wameweza kufikia vijiji 19 vilivyomo ndani ya Mradi huo huku vijiji 13 vikiwa nje ya mradi ambavyo  navyo vimeweza...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA PAMOJA IKISHIRIKIANA NA RED CROSS UNGUJA WATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA (COVID-1).

Taasisi ya pamoja iliyopo Mbweni inayojishughulisha na masuala ya Ufundi wa Vyombo vya Moto na Ushoni Zanzibar kwa kushirikiana na Chama cha Msalaba Mwekundu Kanda ya Unguja vimetoa msaada wa Vifaa mbali mbali vya kupambana na Virusi vya Corona hapa Nchini.Vifaa hivyo ni pamoja na Mifereji Hamsini iliyotengenezwa Kitaalamu kulingana na mazingira halisi ya kujiepusha na Virusi vya Corona, ndoo 65, Sabuni pamoja na Vitakasa Mikono.Akikabidhi Vifaa hivyo kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili...

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Wataalamu wazunguka Stendi,Sokoni kutoa elimu ya virusi vya Corona


Na Amiri kilagalila,Njombe

Kufuatia uwepo ugonjwa wa virusi vya Corona nchini Tanzania,halmashauri ya mji Njombe imeanza kutoa elimu kwa wananchi wa halmashauri hiyo ili kuweza kuchukua hatua stahiki za kuepukana na maambukizi zaidi ambapo Idara ya afya imeanza kutoa elimu katika maeneo ya stendi,masoko,taasisi za kifedha na hoteli kuhusu dalili na njia za kujikinga na virusi hao.

Mganga mkuu wa halmashauri ya mji wa Njombe Dkt.Yesaya Mwasubila amewataka wananchi kuhakikisha kuwa wananawa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yakabidhi msaada kwa Shirika la Red Cross Tanzania kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Dumila na Dar es Salaam

1

Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila – Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula, mablanketi, neti za kuzuia mbu na magodoro.

2

 Kaimu Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

GPL

TIGO YAKABIDHI MSAADA KWA SHIRIKA LA RED CROSS TANZANIA KWA AJILI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO DUMILA NA DAR ES SALAAM‏

Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila - Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula,...

 

11 years ago

For Moro Flood Victims

Vodacom gives Red Cross 10m/


IPPmedia
Vodacom gives Red Cross 10m/- for Moro flood victims
IPPmedia
Head of Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule (L) hands over dummy cheque for 10 million/- to Tanzania Red Cross president Dr George Nangale in support of efforts by the society to help floods victims in Kilosa District in Morogoro Region. Tanzania ...

 

10 years ago

The Hindu

'AP Red Cross has most number of blood banks '


International Federation of Red Cross and Red Crescent Societies
'AP Red Cross has most number of blood banks '
The Hindu
The Red Cross Society of Andhra Pradesh has more blood banks than all Red Cross Societies in all other states put together, according to Andhra Pradesh Red Cross Society Chairman and former High Court Judge A. Lakshmana Rao. Inaugurating a ...
One year on: Children hardest hit by violence in Central African RepublicInternational Federation of Red Cross and Red Crescent...

 

10 years ago

BBC

Ebola stigma 'hindering Red Cross'

Stigma against travellers from Ebola-infected countries is hindering the fight against the disease, the Red Cross and Red Crescent charities say.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani