Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Redd’s Miss Temeke Agosti 22

MSHINDI wa shindano la Redd’s Miss  Temeke anatarajiwa kupatikana Agosti 22 katika Ukumbi wa TCC Chang’ombe. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya BMP Promotions ya jijini Dar es Salaam,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Redd's Miss Temeke

 Warembo wanaotarajia kushiriki mashindano ya Redd's Miss Temeke, wakipozi wakati wa mazoezi  katika Klabu ya TCC, Chang'ombe, Dar es Salaam. Mashindano yatafanyika kwenye klabu hiyo, Agosti 22,mwaka huu. PICHA NA MDAU KHAMIS MUSSA

 

10 years ago

Dewji Blog

Mazoezi Redd’s Miss Temeke yapamba moto

 Warembo wanaotarajia kushiriki mashindano ya Redd’s Miss Temeke, wakipozi wakati wa mazoezi  katika Klabu ya TCC, Chang’ombe, Dar es Salaam. Mashindano yatafanyika kwenye klabu hiyo, Agosti 22,mwaka huu. PICHA ZOTE NA MDAU KHAMIS MUSSA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

IMG-20140815-WA0002

 

 

10 years ago

GPL

FAINALI MISS TEMEKE 2014 KUFANYIKA AGOSTI 22

Vimwana wa Miss Temeke 2014 wakiwa kwenye pozi la pamoja ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao ya kuelekea kwenye kinyang'anyiro chao kitakachofanyika kwenye Ukumbi wa TCC, Chang'ombe jijini Dar es Salaam Agosti 22, 2014. Jumla ya washiriki 17 watapanda jukwaani siku hiyo kuwania taji hilo. Warembo…

 

10 years ago

Michuzi

Redd's Miss Temeke kujulikana ijumaa ndani ya TCC Club,Chang'ombe, jijini Dar es Salaam.

 Warembo watakaoshiriki mashindano ya Redd's  Miss Temeke, wakiwa katika picha ya pamoja na Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Khalid Mohamed (TID), anayemiliki bendi ya  Top in Town,itakayotoa burudani katika mashindano hayo.Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Khalid Mohamed (TID), anayemiliki bendi ya  Top in Town, akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, katika  klabu ya City Sports & Lounge jinsi alivyojiandaa kutoa burudani katika mashindano ya Redd's Miss Temeke yatakayofanyika...

 

11 years ago

Michuzi

MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA 2014 KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI  KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA  2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO  MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO.
MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA  VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT   MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM

 

11 years ago

GPL

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014!‏

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI  KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA  2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO. MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT  MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM ...

 

10 years ago

TheCitizen

REDD’S miss tanzania-the show goes on

>The Redd’s Miss Tanzania 2014 final show will go on as scheduled, this was after an earlier court injunction was quashed on Tuesday afternoon.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sasa Redd’s Miss Iringa Juni 20

HATIMAYE kinyang’anyiro cha kumsaka Redd’s Miss Iringa kinatarajia kufanyika Juni 20, baada ya aliyekuwa Mratibu wa kwanza, Mohamed Mcholeka kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kushindwa kufanyika Juni 6 kama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Redd’s Miss Arusha wajichimbia kambini

WAREMBO 13 wa Redd’s Miss Arusha 2014 jana wameingia rasmi kambini kujinoa kwa ajili ya kinyang’anyiro kinachotarajiwa kufanyika Juni 7. Muandaaji wa Redd’s Miss Arusha, Faustine Mwandago, alisema kuwa warembo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani