Ridhiwani Kikwete aanza kupiga hesabu za bungeni
 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete ameanza kujinadi akisema endapo ataingia bungeni, atawaelimisha wabunge juu ya kuweka mbele maslahi ya Watanzania badala ya kulalamikia posho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Mar
Ridhiwani Kikwete aanza kampeni kuwania Chalinze
WAKATI leo ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, mgombea wa ubunge katika uchaguzi mwingine mdogo jimboni Chalinze, Pwani kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete jana alianza kwa kishindo kampeni zake.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s72-c/52.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AANZA KAMPENI KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s1600/52.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fvYL_g5Yk3c/UyNojFi6r8I/AAAAAAAFThU/I95wZvYcImU/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Ridhiwani Kikwete aanza ziara ya kikazi katika vijiji 40 Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akikagua vyumba vya madarasa vya Shule ya Msingi Kibindu, wilayani Bagamoyo, Pwani vilivyobmoka na kuezuliwa paa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha hivi karibuni. Ridhiwani yupo katika ziara ya kikazi ya kutembelea vijiji 40 jimboni humo.Pia Ridhiwani alishauri shule hiyo yenye majengo yaliyojengwa tangu 1952 ifungwe ili kuepusha maafa zaidi hadi itakapojengwa upya. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
![IMG_5700](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_5700.jpg)
Mbunge wa...
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE AANZA ZIARA YA KIKAZI KATIKA VIJIJI 40 CHALINZE
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi07 Jul
MH. RIDHIWANI KIKWETE AANZA KUTEKELEZA ILANI YA CHAMA KWENYE JIMBO LAKE LA CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/19.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 May
Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa waapishwa rasmi Bungeni mjini Dodoma leo
Mbunge wa Kalenga, Godfrey mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma Mei 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge,Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo waTaifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza.
Mke Rais,Mama Salma Kikwete akiwa Bungeni Mjini Dodoma May 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete...
11 years ago
GPLKUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO, RIDHIWANI KIKWETE NA GODFREY MGIMWA WAAPISHWA
11 years ago
MichuziTASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO,RIDHIWANI KIKWETE NA GODFREY MGIMWA WAAPISHWA