RIYAMA NJIA PANDA KWA MITUNGI
![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NIRIKy1O8G084T-acCbh5rgtS*wVPhl5ixHsYDk6IZO4HtqYR-*08jthIM0Zq2t9H2uQ4jtvr6vohJhec0HuXD/riyama.jpg?width=650)
Stori: Erick Evarist Mh! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Riyama Ally, amejikuta akiwa njia panda baada ya kutakiwa kunywa pombe ya kienyeji aina ya ugimbi ambayo hajawahi kunywa maishani mwake. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Riyama Ally. Riyama aliingia kwenye mtihani huo juzikati pande za Songea alipokuwa amekwenda kikazi ambapo alitakiwa kunywa pombe hiyo kutokana na matakwa ya filamu lakini akashindwa. “Ulikuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboTAHADHARI KWA WATUMIAJI WA BARABARA YA LUPA ENEO LA NJIA PANDA ISANGA JIJINI MBEYA
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Hukumu kwa Clouds Radio na TV ukiukwaji wa kanuni za utangazaji kipindi cha Bibi Bomba na njia panda
Mwenyekiti wa Kamati Maudhui Eng. Margaret Munyagi (wa pili kulia), akisoma hukumu dhidi ya Could FM na Clouds TV kuhusu uvunjwaji wa kanuni za utangazaji.. Wengine toka kushoto, Abdul Ngarawa, Joseph Mapunda na Walter Bugoya.(Picha kwa hisani ya Innocent Mungy wa TCRA).
Rulling Clouds Fm Radio by moblog
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD-*PCcgjQM4o7ngeSsxEYX9u4QDIAEiqaCFarBdfZ7EDBjOPafYShaAZZu-3YsGTTX9m9l57D*20jSt6ZPacAeXm/1528535_698759480156926_571395509_n.jpg?width=650)
ZITTO NJIA PANDA
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
TANESCO njia panda
WAKATI Watanzania wakiendelea kutaabika kwa bei mpya za umeme, hali ya kiutendaji ya Shirika la Ugavi wa Umeme (TANESCO) iko njia panda kutokana na msuguano uliopo kati ya Wizara ya...
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Nchi njia panda
Fredy Azzah na Elias Msuya
NCHI inapita katika kipindi kigumu kwa sasa kulingana na matukio mbalimbali yanayotokea wakati tukielekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kulingana na hali hiyo, lugha yenyepesi inayoweza kutumika katika kufafanua ni kusema kwamba, nchi ipo njia panda.
Baadhi ya mambo hayo ni yale yaliyotokea na kuigusa nchi kama taifa, huku mengine yakigusa maisha ya wananchi moja kwa moja.
Katiba mpya
Moja ya mambo yanayoumiza vichwa vya Watanzania ni kuhusu...
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
CCM njia panda
IKIWA imesalia wiki moja kabla ya watangaza nia wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukamilisha mchakato
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Lipumba njia panda CUF
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Bajeti yaiweka CCM njia panda
WAKATI kesho wabunge wakianza kuijadili kwa siku saba Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15 inayofikia sh trilioni 19.8, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitakuwa...
11 years ago
BBCSwahili07 Feb
Marekani na EU njia panda kuhusu Ukraine