TAHADHARI KWA WATUMIAJI WA BARABARA YA LUPA ENEO LA NJIA PANDA ISANGA JIJINI MBEYA
Kipande cha barabara ya njia Panda Isanga karibu na Hotel ya Lifti Valey jijini Mbeya (LUPA WAY )ambacho kimejengwa upya kwa kuongezewa njia kimeleta sura mpya jijini hapa lakini kimeleta pia changamoto kwa madereva hasa kwa nyakati za usiku kwani hakuna taa hivyo nivema watumiaji wa barabara hii wakachukua tahadhari kwa kuto endesha kwa mwendo kasi ili kuepuka ajali zisizo za lazima ...JAMIIMOJABLOG
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-B3yh97TG6WE/UssHPjl3ONI/AAAAAAAAJ98/Wrf-82jDN90/s1600/IMG_20140105_162428.jpg)
UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ABxss8JQZbo/UzAJOoD2rvI/AAAAAAAALt0/HB6Tgmvun3s/s1600/Photo3477.jpg)
CHEMBA ILIYOBOMOKA ENEO LA MWENGE YAWA KERO KWA WATUMIAJI WA BARABARA INAYOELEKEA AFRIKA SANA
Chemba iliyobomoka ikiwa wazi maeneo ya Mwenge. Mawe yakiwa yamewekwa kuzuia magari yasipite baada ya chemba hiyo kubomoka. CHEMBA iliyobomoka maeneo ya Mwenge Jijini Dar imekuwa kero kwa watumiaji wa barabara ya kutoka Mwenge kuelekea Afrika Sana. Chemba hiyo ilibomoka baada ya gari…
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mIjTrk-6oy0/Xl2IhB5q8kI/AAAAAAACz4Y/1oEeGnIYUpY2owUTczOzkXzJSzWvTDhIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200303_011516.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s72-c/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ENEO LA SOWETO JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s640/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1CX84JFaZLI/VQqj1CuKkDI/AAAAAAAAzn8/7llhOkLhNm4/s640/AvAmViZ9cRQ6QgdtSB6cdVeK5fugidnQIyY45eGKhou_.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5RXR3NvMiw0/U5392ogdL3I/AAAAAAAFq3g/E2pM6icn0dg/s72-c/unnamed+(59).jpg)
Wana Njia Panda washiriki kufanya usafi katika Hospitali ya Amana jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-5RXR3NvMiw0/U5392ogdL3I/AAAAAAAFq3g/E2pM6icn0dg/s1600/unnamed+(59).jpg)
Mtangazaji wa Kipindi cha Redio cha Njia Panda kinachorushwa na Clouds FM Dkt. Isack Maro akizungumza na mwandishi wa habari wa Zanzibar Media Bi. Sophia Kingimali wakatika wa zoezi la usafi katika Hospilali ya Amana iliyopo Ilala, jana jijini Dar es Salaam. Wananjiapanda wamejitolea kufanya shughuli za usafi katika Hospitali hiyo ikiwa ni kutoa mchango wao kwa jamii inayowazunguka.
![](http://1.bp.blogspot.com/-itKkrvfERUY/U5394jwQkMI/AAAAAAAFq20/5odHgJiJFNc/s1600/unnamed+(65).jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Harusi za Mbeya lazima ulishe wapita njia eneo lako
Ama kweli duniani kuna mambo. Sikutarajia kuona gharama kubwa zaidi za harusi kwenye eneo masikini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NIRIKy1O8G084T-acCbh5rgtS*wVPhl5ixHsYDk6IZO4HtqYR-*08jthIM0Zq2t9H2uQ4jtvr6vohJhec0HuXD/riyama.jpg?width=650)
RIYAMA NJIA PANDA KWA MITUNGI
Stori: Erick Evarist Mh! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Riyama Ally, amejikuta akiwa njia panda baada ya kutakiwa kunywa pombe ya kienyeji aina ya ugimbi ambayo hajawahi kunywa maishani mwake. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Riyama Ally. Riyama aliingia kwenye mtihani huo juzikati pande za Songea alipokuwa amekwenda kikazi ambapo alitakiwa kunywa pombe hiyo kutokana na matakwa ya filamu lakini akashindwa. “Ulikuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MxiwEdY-mAE/U19PJeLxleI/AAAAAAAFd38/1vVmYXvSIfE/s72-c/Internet-Explorer.jpg)
TAHADHARI KWA WATUMIAJI WA VIVINJARI VYA “INERNET EXPLORER”
![](http://4.bp.blogspot.com/-MxiwEdY-mAE/U19PJeLxleI/AAAAAAAFd38/1vVmYXvSIfE/s1600/Internet-Explorer.jpg)
Jumamosi tangazo hilo linalosomeka hapa "TANGAZO" limeweza kubainisha internet explorer toleo la 6 hadi la 11 yote yameweza kugundulika yanatoa mwanya kwa wahalifu mtandao kupenya kwa watumiaji na kuchukua taarifa zozote zitakazo patikana...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania