Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Riyama: Tajiri na Mali Yake, Masikini na Wanawe

Mwigizaji wafilamu anaesifika kwa uwezo wake mkubwa wakuvaa uhusika anapokuwa anaigiza, Riyama Ally amelezea furaha yake ya kuwa mama na kuwatakia baraka wanawake na wakina mama wote.

“Raha ya dunia ni watoto tajiri na  maliyake  maskini na  wanawe tupende watoto wote kwani watoto ni zawadi toka kwa MUNGU pia watoto ni faraja kubwa sana.... Asante sana MUNGU kwa zawadi ya Fatma Nakupenda sanaaaaaaaaaa Fatma kwani umenipa faraja ya kuitwa mama nawaombea wanawake wote waliokua bado hawaja...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Uwekezaji haujali tajiri, masikini

MWANDISHI WETU, Dar

 

UTT-AMIS ni taasisi ya serikali chini ya Wizara ya Fedha iliyoanzishwa miaka 12 iliyopita kwa lengo la kuanzisha na kuendesha mifuko ya uwekezaji wa pamoja nchini ili kuwawezesha wananchi kujiwekea akiba na kuwekeza katika masoko ya fedha na mitaji.

 

Tangu kuanzishwa kwake taasisi hiyo imejidhihiriisha ni taasisi itakayokuwa mkombozi wa watu wa pato la chini na kati.

 

Ofisa Masoko Mkuu Mwandamizi wa UTT-AMIS, Mfaume Kimario anasema tangu kuanzishwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pengo la masikini, tajiri kuchafua nchi

MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Alfred Msovela, amesema kuna uwezekano wa taifa kuingia katika machafuko kutokana na kuwepo kwa matabaka ya wenye nacho na wasiokuwa nacho. Alisema kutokana na wachache...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Heri masikini jasiri kuliko tajiri mwoga

USWAHIBA walionao watendaji wa serikali na wafanyabiashara wakubwa (matajiri) hapa nchini kinaweza kuwa kigezo kikubwa cha kudumaza maendeleo ya nchi na kukosa uwiano wa mapato kati ya walionacho na wale wasiokuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Masaburi apinga serikali kuwa tajiri, wananchi masikini

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Dk Didas Masaburi MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Dk Didas Masaburi amesema jumuiya hiyo itapigana kufa au kupona kuona Tanzania inabadili mfumo wa sasa wa uendeshaji wa serikali unaolenga kuifanya serikali kuwa tajiri kuliko wananchi, hatua ambayo imekuwa inawafanya wananchi kukimbilia siasa na kufanya kazi serikalini kama njia ya kuwa na maisha bora.

 

9 years ago

GPL

TAJIRI AFA, MALI ZAZUA BALAA!

Na Waandishi Wetu MALI za aliyekuwa tajiri maarufu Dar, marehemu Charles John Mallya zimezua balaa baada ya mke mkubwa, Philomena Masechu ambaye anadai kuchuma naye kiasi kikubwa cha mali hizo kusema amedhulumiwa na mke mdogo, akimtaja Mariana kwa kushirikiana na watoto wa wake wengine wa marehemu.
Marehemu Charles John Mallya enzi za uhai wake. Akizungumza na gazeti hili kwa masikitiko, Philomena alisema uchochezi mkubwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Riyama Akiwa Mzigoni ‘Akishuti’ Kazi Yake Mpya

Hizi ni baadhi ya picha za mkali wa bongo movies, Riyama Ally alizo-share nasi kupitia ukurasa wake mtandaoni  zikimuonyesha akiwa anashoot filamu yake mpya.

“Naipenda sana kazi yangu Mungu ibariki...”Riyama aliandika kwenye picha hiyo hapo juu.

Hongera kwa kazi

 

9 years ago

Michuzi

HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE

Ni jambo lilo wazi kuwa watu wote hawawezi kuwa sawa, hivyo watu wote hawawezi  kuwa matajiri. Hivyo kulipo na matajiri  wakubwa na  maskini nao ni wengi. Kwa sababu tajiri na maskini wanategemeana.  Utajiri hauwezi kuwepo bila kuwepo umaskini.Kwa mantiki hiyo ili tajiri awepo maskini lazima awepo na   maskini akiwepo  na tajiri atakuwepo, wote wanategemeana. Kanuni hii ni kwa watu na hata nchi.Ni kweli matajiri wanachukia umaskini  na maskini wenyewe wanatamani utajiri. Hivyo si rahisi kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Msichana wa ndani aua tajiri yake, amchoma kisu kwenye Titi, afa papo hapo

DSC00179111

Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP), Geofrey Kamwela.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

SAKATA la wafanyakazi wa ndani kunyanyaswa na mabosi wao limeingia katika sura ya kipekee safari hii mabosi wamegeukwa na kuuwawa na wafanyakazi hao.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mfanyakazi mmoja wa ndani Mkoani Singida, kumwua tajiri yake kwa kumchoma kwa kisu sehemu ya juu ya titi la kulia kwa madai ya kunyanyashwa na tajiri yake.

Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP) Geofrey Kamwela alisema...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mke wa zamani wa Mandela adai mali yake

Mke wa zamani wa hayati Nelson Mandela, anataka watoto wake wapewe nyumba ya marehemu iliyoko kijijini Qunu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani