Uwekezaji haujali tajiri, masikini
MWANDISHI WETU, Dar
UTT-AMIS ni taasisi ya serikali chini ya Wizara ya Fedha iliyoanzishwa miaka 12 iliyopita kwa lengo la kuanzisha na kuendesha mifuko ya uwekezaji wa pamoja nchini ili kuwawezesha wananchi kujiwekea akiba na kuwekeza katika masoko ya fedha na mitaji.
Tangu kuanzishwa kwake taasisi hiyo imejidhihiriisha ni taasisi itakayokuwa mkombozi wa watu wa pato la chini na kati.
Ofisa Masoko Mkuu Mwandamizi wa UTT-AMIS, Mfaume Kimario anasema tangu kuanzishwa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Pengo la masikini, tajiri kuchafua nchi
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Alfred Msovela, amesema kuna uwezekano wa taifa kuingia katika machafuko kutokana na kuwepo kwa matabaka ya wenye nacho na wasiokuwa nacho. Alisema kutokana na wachache...
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
Riyama: Tajiri na Mali Yake, Masikini na Wanawe
Mwigizaji wafilamu anaesifika kwa uwezo wake mkubwa wakuvaa uhusika anapokuwa anaigiza, Riyama Ally amelezea furaha yake ya kuwa mama na kuwatakia baraka wanawake na wakina mama wote.
“Raha ya dunia ni watoto tajiri na maliyake maskini na wanawe tupende watoto wote kwani watoto ni zawadi toka kwa MUNGU pia watoto ni faraja kubwa sana.... Asante sana MUNGU kwa zawadi ya Fatma Nakupenda sanaaaaaaaaaa Fatma kwani umenipa faraja ya kuitwa mama nawaombea wanawake wote waliokua bado hawaja...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Heri masikini jasiri kuliko tajiri mwoga
USWAHIBA walionao watendaji wa serikali na wafanyabiashara wakubwa (matajiri) hapa nchini kinaweza kuwa kigezo kikubwa cha kudumaza maendeleo ya nchi na kukosa uwiano wa mapato kati ya walionacho na wale wasiokuwa...
10 years ago
Habarileo20 Feb
Masaburi apinga serikali kuwa tajiri, wananchi masikini
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Dk Didas Masaburi amesema jumuiya hiyo itapigana kufa au kupona kuona Tanzania inabadili mfumo wa sasa wa uendeshaji wa serikali unaolenga kuifanya serikali kuwa tajiri kuliko wananchi, hatua ambayo imekuwa inawafanya wananchi kukimbilia siasa na kufanya kazi serikalini kama njia ya kuwa na maisha bora.
9 years ago
Michuzi03 Sep
HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--Uc4jte378c/U3xnivx9IjI/AAAAAAAFkKY/JOpYaxyy5zA/s72-c/unnamed+(9).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MENEJA WA UWEKEZAJI WA TAASISI YA UWEKEZAJI YA WALLONIA YA UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/--Uc4jte378c/U3xnivx9IjI/AAAAAAAFkKY/JOpYaxyy5zA/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JBLBLEDKFbs/UvvGGZ0UxeI/AAAAAAAFMqk/jA0w3RTUdDQ/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Masikini akifananishwa na uchafu
KILIO na maneno yao ya kuomboleza yalifanana mithiri ya watu walioambizana kuimba wimbo mmoja hata kama hawakujuana. Wa kwanza alikuwa mwanaume, huyu alikuwa akilia kwa uchungu huku akiwauliza askari wale...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E1wPPee9yTU/U02jBSitGoI/AAAAAAAFbHA/65A0yBb1BBg/s72-c/IMG_6902.jpg)
MASIKINI TWIGA WETU.!
![](http://4.bp.blogspot.com/-E1wPPee9yTU/U02jBSitGoI/AAAAAAAFbHA/65A0yBb1BBg/s1600/IMG_6902.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XkbIEpYY8Hs/U02jUI0Jk9I/AAAAAAAFbHs/gEdTKD4iQX4/s1600/IMG_6932.jpg)